kwa habari za michezo

fahamu ya liyojiri,ratiba na matokeo

kwa miziki

taarifa za miziki,nyimbo mpya na mengineo

dunia yetu leo

fahamu ya tokeayo duniani.

Showing posts with label SOCCER. Show all posts
Showing posts with label SOCCER. Show all posts

MATOKEO YA KILI STARS

Author
November 22 michuano ya mataifa ya Afrika Mashariki na kati maarufu kama CECAFA iliendelea kwa michezo miwili kupigwa, timu ya taifa ya Tanzania bara ambapo inafahamika kama Kilimanjaro Stars ilishuka dimbani kucheza mechi yake ya kwanza dhidi ya Somalia.
Kilimanjaro Stars ambayo ndio imecheza mchezo wake wa kwanza leo November 22 ikiwa na tahadhari au kumbukumbu ya kilichowakuta ndugu zao Zanzibar Heroes ambao walipoteza mchezo wao wa kwanza dhidi ya timu ya taifa ya Burundi kwa goli 1-0.
Stars ambao wapo chini ya kocha King Kibadeni walifanikiwa kuibuka na ushindi wa jumla ya goli 4-0 dhidi ya Somalia ambao wamekuwa hawana rekodi nzuri katika soka, magoli ya Kilimanjaro Stars yalifungwa na nahodha wao John Bocco kwa mkwaju wa penati dakika ya 12, Elias Maguli dakika ya 17 na 54 na dakika moja baadae John Bocco akapachika tena goli la nne.

AZAM BINGWA KAGAME

Author
KLABU ya Azam FC imefanikiwa kutwaa Ubingwa wa Kombe la Kagame huku ikiwek rekodi kibao, baada ya kuitandika Gor Mahia ya Kenya mabao 2-0, katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Rekodi ya kwanza ya Azam katika michuano hiyo ni kuwa timu ya kwanza ya Tanzania mbali na Simba na Yanga SC kutwaa taji hilo, huku ikiwa ni mara yao ya tatu kushirikishi mashindano hayo.
Rekodi ya pili ya Azam ni kutwaa kombe hilo kwa mara yao ya kwanza, huku ikiwa ni fainali yao ya pili kucheza, mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2012, dhidi ya Yanga, walipoteza kwa mabao 2-0.
Rekodi ya tatu ya Azam ni kumaliza michuano hiyo bila ya kuruhusu bao lolote wavuni kwake ndani ya dakika 90 za mchezo, huku ikiifanikiwa kutwaa ubingwa huo kila kupoteza mchezo hata mmoja.
Azam imeshinda mechi zake zote kuanzia Kundi C, mbali na mchezo wa leo, nusu fainali walikutana na KCCA na kushinda 1-0, katika robo fainali walikutana na Yanga na kushindwa kwa penalti 5-3 baada ya sare ya 0-0 dakika 90, hatua ya makundi walishinda.
1
Kwa ushindi huo, Azam inazawadiwa kitita cha dola za Kimarekani 30,000 (Sh. Milioni 60), wakati Gor Mahia wanapozwa na dola 20,000 (Sh. Miliioni 40).
Bao la kwanza la Azam lilifungwa dakika ya 16, kupitia kwa nahodha wake, John Bocco ‘Adebayor’ aliyemalizia krosi ya Kipre Tchetche.
Kipre Tchetche aliimaliza Gor Mahia kwa Kuifungia Azam bao la pili dakika ya 64 kwa shuti la mpira wa adhabu lililokwenda moja kwa moja langoni kwa Gor Mahia na kumshinda kipa wake Boniphace Olouch.

MKWASA AWAASA SIMBA

Author
KOCHA mpya wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa amewataka mashabiki wa Simba kutomzomea pindi watakapomuona kwenye mazoezi au mechi, kwa vile atakuwa pale kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya wachezaji wake wa timu ya taifa.
Akizungumza Dar es Salaam juzi, Mkwasa alisema mashabiki wanatakiwa kufahamu kuwa yeye ni kocha wa taifa, hivyo atakuwa akitembelea katika mechi za timu mbalimbali kuangalia wachezaji na maendeleo ya wale wanaocheza timu ya taifa.
“Mashabiki wa Simba mnaponiona kwenye mechi zenu msinikimbize kwa mawe mkadhani kuwa nimekuja kwa ajili ya Yanga, nitakuwa na utaratibu wa kutembelea timu kuangalia wachezaji, mnajua kazi ya kocha wa taifa ndio hiyo,” alisema Mkwasa ambaye pia ni Kocha Msaidizi wa Yanga.
Kujihami kwa Mkwasa ni kutokana na tabia iliyopo kwa mashabiki hasa wa Yanga na Simba, pindi wanapoona kiongozi wa Yanga au Simba anakwenda kwenye mechi zao hufanya vurugu.
Alisema atakuwa anachagua wachezaji wenye uwezo na ambao wanatumika katika timu zao, na kwamba iwapo kuna baadhi watakuwa wanacheza timu ya taifa na wakabainika viwango vyao vimeshuka watapigwa chini.
Alisema atakuwa akichagua wachezaji kwa kuangalia uwezo wake bila kubagua na sio timu, na kwamba wachezaji wanatakiwa kujituma.
Mkwasa alipewa jukumu la kuinoa Stars baada ya aliyekuwepo Mart Nooij kutimuliwa kwa kufanya vibaya katika michuano ya kimataifa.
Benchi la ufundi la Taifa Stars kwa sasa linasimamiwa na makocha wazalendo chini ya Mkwasa, msaidizi wake Hemed Morocco na mshauri wa timu Abdallah Kibadeni.
Kitendo cha timu ya Taifa kupewa kocha mzalendo sio cha kwanza, miaka ya nyuma aliwahi kuchukuliwa kocha wa Simba, James Singalaza.

YANGA YAKANA JERRY MURO KUFUKUZWA

Author

Kufuatia taarifa kuzagaa mtaani kwamba, Mkuu wa Idara ya habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro amefutiwa kibarua chake kwenye klabu hiyo ya Jangwani, uongozi wa timu hiyo umeamua kulitolea ufafanuzi jambo hilo ili kuondoa utata na maswali mengi yanayoulizwa na mashabiki wa mabingwa hao wa ligi kuu Tanzania bara kwa msimu uliopita.
Katibu mkuu wa klabu ya Yanga Dkt. Jonas Tiboroha amesema, hakuna ukweli wowote juu ya jambo hilo na kuongeza kuwa Jerry Muro bado ni Afisa habari wa Yanga na ni mfanyakazi halali wa klabu hiyo na hakuna kikao kilichoitishwa kuchukua uamuzi huo.
“Hakuna ukweli juu ya jambo hilo, Jerry bado ni afisa wa habari na mahusiano na ni mfanyakazi wa Yanga, na hicho kikao sidhani kama kilifanyika maana mimi ndiye ninayeitisha vikao na sijaitasha kikao cha hivyo”, amesema.
“Nimeshangaa hata mimi kwasababu nimeona kwenye ‘groups za WhatsApp’ jana. Nimeshawahi kuongea wakati mwingine unakuta taarifa zimeandikwa kwenye blogs, sasa sijui huyu mtu aliyeandika yeye taarifa anazitoa wapi”, alifafanua.
“Mashabiki wa Yanga waelewe kwamba, Jerry Muro bado ni mtumishi wa Yanga na bado ataendelea kuwahabarisha habari za Yanga. Tunajaribu kuangalia na kuchunguza chanzo cha hiyo habari ni nini”, Tiboroha  alimaliza.
Awali, kulikuwepo na taarifa zilizo zagaa kwenye mitandao ya kijamii (social networks) kwamba afisa habari wa Yanga Jerry Muro ametimuliwa kunako klabu hiyo lakini habari hizo hazikwenda ndani zaidi kueleza sababu zilizopelekea Yanga kumtimua Muro.

RATIBA YA EPL KWA MSIMU WA 2015 - 2016

Author

8 August 2015

AFC Bournemouth v Aston Villa    #BOUAVL
Arsenal v West Ham United    #ARSWHU
Chelsea v Swansea City    #CHESWA
Everton v Watford    #EVEWAT
Leicester City v Sunderland    #LEISUN
Manchester United v Tottenham Hotspur    #MUNTOT
Newcastle United v Southampton    #NEWSOU
Norwich City v Crystal Palace    #NORCRY
Stoke City v Liverpool    #STKLIV
West Bromwich Albion v Manchester City    #WBAMCI

15 August 2015

Aston Villa v Manchester United    #AVLMUN
Crystal Palace v Arsenal    #CRYARS
Liverpool v AFC Bournemouth    #LIVBOU
Manchester City v Chelsea    #MCICHE
Southampton v Everton    #SOUEVE
Sunderland v Norwich City    #SUNNOR
Swansea City v Newcastle United    #SWANEW
Tottenham Hotspur v Stoke City    #TOTSTK
Watford v West Bromwich Albion    #WATWBA
West Ham United v Leicester City    #WHULEI

22 August 2015

Arsenal v Liverpool    #ARSLIV
Crystal Palace v Aston Villa    #CRYAVL
Everton v Manchester City    #EVEMCI
Leicester City v Tottenham Hotspur    #LEITOT
Manchester United v Newcastle United    #MUNNEW
Norwich City v Stoke City    #NORSTK
Sunderland v Swansea City    #SUNSWA
Watford v Southampton    #WATSOU
West Bromwich Albion v Chelsea    #WBACHE
West Ham United v AFC Bournemouth    #WHUBOU

29 August 2015

AFC Bournemouth v Leicester City    #BOULEI
Aston Villa v Sunderland    #AVLSUN
Chelsea v Crystal Palace    #CHECRY
Liverpool v West Ham United #LIVWHU
Manchester City v Watford    #MCIWAT
Newcastle United v Arsenal    #NEWARS
Southampton v Norwich City    #SOUNOR
Stoke City v West Bromwich Albion    #STKWBA
Swansea City v Manchester United    #SWAMUN
Tottenham Hotspur v Everton    #TOTEVE

12 September 2015

Arsenal v Stoke City    #ARSSTK
Crystal Palace v Manchester City    #CRYMCI
Everton v Chelsea    #EVECHE
Leicester City v Aston Villa    #LEIAVL
Manchester United v Liverpool    #MUNLIV
Norwich City v AFC Bournemouth    #NORBOU
Sunderland v Tottenham Hotspur    #SUNTOT
Watford v Swansea City    #WATSWA
West Bromwich Albion v Southampton    #WBASOU
West Ham United v Newcastle United    #WHUNEW

19 September 2015

AFC Bournemouth v Sunderland #BOUSUN
Aston Villa v West Bromwich Albion    #AVLWBA
Chelsea v Arsenal    #CHEARS
Liverpool v Norwich City    #LIVNOR
Manchester City v West Ham United    #MCIWHU
Newcastle United v Watford    #NEWWAT
Southampton v Manchester United    #SOUMUN
Stoke City v Leicester City    #STKLEI
Swansea City v Everton    #SWAEVE
Tottenham Hotspur v Crystal Palace    #TOTCRY

26 September 2015

Leicester City v Arsenal    #LEIARS
Liverpool v Aston Villa    #LIVAVL
Manchester United v Sunderland    #MUNSUN 
Newcastle United v Chelsea    #NEWCHE
Southampton v Swansea City    #SOUSWA
Stoke City v AFC Bournemouth    #STKBOU
Tottenham Hotspur v Manchester City    #TOTMCI
Watford v Crystal Palace    #WATCRY
West Bromwich Albion v Everton    #WBAEVE
West Ham United v Norwich City    #WHUNOR

3 October 2015      

AFC Bournemouth v Watford    #BOUWAT
Arsenal v Manchester United    #ARSMUN
Aston Villa v Stoke City    #AVLSTK
Chelsea v Southampton    #CHESOU
Crystal Palace v West Bromwich Albion    #CRYWBA
Everton v Liverpool    #EVELIV
Manchester City v Newcastle United    #MCINEW
Norwich City v Leicester City    #NORLEI
Sunderland v West Ham United    #SUNWHU
Swansea City v Tottenham Hotspur    #SWATOT

17 October 2015

Chelsea v Aston Villa    #CHEAVL
Crystal Palace v West Ham United    #CRYWHU
Everton v Manchester United    #EVEMUN
Manchester City v AFC Bournemouth    #MCIBOU
Newcastle United v Norwich City    #NEWNOR
Southampton v Leicester City    #SOULEI
Swansea City v Stoke City    #SWASTK
Tottenham Hotspur v Liverpool    #TOTLIV
Watford v Arsenal    #WATARS
West Bromwich Albion v Sunderland    #WBASUN

24 October 2015        

AFC Bournemouth v Tottenham Hotspur    #BOUTOT
Arsenal v Everton    #ARSEVE
Aston Villa v Swansea City    #AVLSWA
Leicester City v Crystal Palace    #LEICRY
Liverpool v Southampton    #LIVSOU
Manchester United v Manchester City    #MUNMCI
Norwich City v West Bromwich Albion    #NORWBA
Stoke City v Watford    #STKWAT
Sunderland v Newcastle United    #SUNNEW
West Ham United v Chelsea    #WHUCHE

31 October 2015        

Chelsea v Liverpool    #CHELIV
Crystal Palace v Manchester United    #CRYMUN
Everton v Sunderland    #EVESUN
Manchester City v Norwich City    #MCINOR
Newcastle United v Stoke City    #NEWSTK
Southampton v AFC Bournemouth    #SOUBOU
Swansea City v Arsenal    #SWAARS
Tottenham Hotspur v Aston Villa    #TOTAVL
Watford v West Ham United    #WATWHU
West Bromwich Albion v Leicester City    #WBALEI

7 November 2015        

AFC Bournemouth v Newcastle United    #BOUNEW
Arsenal v Tottenham Hotspur    #ARSTOT
Aston Villa v Manchester City    #AVLMCI
Leicester City v Watford    #LEIWAT
Liverpool v Crystal Palace    #LIVCRY
Manchester United v West Bromwich Albion    #MUNWBA
Norwich City v Swansea City    #NORSWA
Stoke City v Chelsea    #STKCHE
Sunderland v Southampton    #SUNSOU
West Ham United v Everton    #WHUEVE

21 November 2015        

Chelsea v Norwich City    #CHENOR
Crystal Palace v Sunderland    #CRYSUN
Everton v Aston Villa    #EVEAVL
Manchester City v Liverpool    #MCILIV
Newcastle United v Leicester City    #NEWLEI
Southampton v Stoke City    #SOUSTK
Swansea City v AFC Bournemouth    #SWABOU
Tottenham Hotspur v West Ham United    #TOTWHU
Watford v Manchester United    #WATMUN
West Bromwich Albion v Arsenal    #WBAARS

28 November 2015        

AFC Bournemouth v Everton    #BOUEVE
Aston Villa v Watford    #AVLWAT
Crystal Palace v Newcastle United    #CRYNEW
Leicester City v Manchester United    #LEIMUN
Liverpool v Swansea City    #LIVSWA
Manchester City v Southampton    #MCISOU
Norwich City v Arsenal    #NORARS
Sunderland v Stoke City    #SUNSTK
Tottenham Hotspur v Chelsea    #TOTCHE
West Ham United v West Bromwich Albion    #WHUWBA

5 December 2015        

Arsenal v Sunderland    #ARSSUN
Chelsea v AFC Bournemouth    #CHEBOU
Everton v Crystal Palace    #EVECRY
Manchester United v West Ham United    #MUNWHU
Newcastle United v Liverpool    #NEWLIV
Southampton v Aston Villa    #SOUAVL
Stoke City v Manchester City    #STKMCI
Swansea City v Leicester City    #SWALEI
Watford v Norwich City    #WATNOR
West Bromwich Albion v Tottenham Hotspur    #WBATOT

12 December 2015

AFC Bournemouth v Manchester United    #BOUMUN
Aston Villa v Arsenal    #AVLARS
Crystal Palace v Southampton    #CRYSOU
Leicester City v Chelsea    #LEICHE
Liverpool v West Bromwich Albion    #LIVWBA
Manchester City v Swansea City    #MCISWA
Norwich City v Everton    #NOREVE
Sunderland v Watford    #SUNWAT
Tottenham Hotspur v Newcastle United    #TOTNEW
West Ham United v Stoke City    #WHUSTK

19 December 2015        

Arsenal v Manchester City    #ARSMCI
Chelsea v Sunderland    #CHESUN
Everton v Leicester City #EVELEI
Manchester United v Norwich City    #MUNNOR
Newcastle United v Aston Villa    #NEWAVL
Southampton v Tottenham Hotspur    #SOUTOT
Stoke City v Crystal Palace    #STKCRY
Swansea City v West Ham United    #SWAWHU
Watford v Liverpool    #WATLIV
West Bromwich Albion v AFC Bournemouth #WBABOU

26 December 2015        

AFC Bournemouth v Crystal Palace #BOUCRY
Aston Villa v West Ham United    #AVLWHU
Chelsea v Watford    #CHEWAT
Liverpool v Leicester City    #LIVLEI
Manchester City v Sunderland    #MCISUN
Newcastle United v Everton    #NEWEVE
Southampton v Arsenal    #SOUARS
Stoke City v Manchester United    #STKMUN
Swansea City v West Bromwich Albion    #SWAWBA
Tottenham Hotspur v Norwich City #TOTNOR

28 December 2015        

Arsenal v AFC Bournemouth    #ARSBOU
Crystal Palace v Swansea City    #CRYSWA
Everton v Stoke City    #EVESTK
Leicester City v Manchester City    #LEIMCI
Manchester United v Chelsea    #MUNCHE
Norwich City v Aston Villa    #NORAVL
Sunderland v Liverpool    #SUNLIV
Watford v Tottenham Hotspur    #WATTOT
West Bromwich Albion v Newcastle United    #WBANEW
West Ham United v Southampton    #WHUSOU

2 January 2016        

Arsenal v Newcastle United    #ARSNEW
Crystal Palace v Chelsea    #CRYCHE
Everton v Tottenham Hotspur    #EVETOT
Leicester City v AFC Bournemouth    #LEIBOU
Manchester United v Swansea City    #MUNSWA
Norwich City v Southampton    #NORSOU
Sunderland v Aston Villa    #SUNAVL
Watford v Manchester City    #WATMCI
West Bromwich Albion v Stoke City    #WBASTK
West Ham United v Liverpool    #WHULIV

12 January 2016

7.45pm kick-offs unless stated
AFC Bournemouth v West Ham United    #BOUWHU
Aston Villa v Crystal Palace    #AVLCRY
8pm Liverpool v Arsenal    #LIVARS
Swansea City v Sunderland    #SWASUN

13 January 2016

7.45pm kick-offs unless stated
Chelsea v West Bromwich Albion    #CHEWBA
Manchester City v Everton    #MCIEVE
Newcastle United v Manchester United    #NEWMUN
Southampton v Watford    #SOUWAT
Stoke City v Norwich City    #STKNOR
8pm Tottenham Hotspur v Leicester City    #TOTLEI

16 January 2016

AFC Bournemouth v Norwich City    #BOUNOR
Aston Villa v Leicester City    #AVLLEI
Chelsea v Everton    #CHEEVE
Liverpool v Manchester United    #LIVMUN
Manchester City v Crystal Palace    #MCICRY
Newcastle United v West Ham United    #NEWWHU
Southampton v West Bromwich Albion    #SOUWBA
Stoke City v Arsenal    #STKARS
Swansea City v Watford    #SWAWAT
Tottenham Hotspur v Sunderland    #TOTSUN

23 January 2016        

Arsenal v Chelsea #ARSCHE
Crystal Palace v Tottenham Hotspur    #CRYTOT
Everton v Swansea City    #EVESWA
Leicester City v Stoke City    #LEISTK
Manchester United v Southampton    #MUNSOU
Norwich City v Liverpool    #NORLIV
Sunderland v AFC Bournemouth    #SUNBOU
Watford v Newcastle United    #WATNEW
West Bromwich Albion v Aston Villa    #WBAAVL
West Ham United v Manchester City    #WHUMCI

2 February 2016    

7.45pm kick-offs unless stated
Arsenal v Southampton    #ARSSOU
8pm Crystal Palace v AFC Bournemouth    #CRYBOU
Leicester City v Liverpool    #LEILIV
8pm Manchester United v Stoke City    #MUNSTK
Norwich City v Tottenham Hotspur    #NORTOT
Sunderland v Manchester City    #SUNMCI
Watford v Chelsea    #WATCHE
8pm West Bromwich Albion v Swansea City    #WBASWA
West Ham United v Aston Villa    #WHUAVL

3 February 2016

7.45pm Everton v Newcastle United #EVENEW

6 February 2016        

AFC Bournemouth v Arsenal    #BOUARS
Aston Villa v Norwich City    #AVLNOR
Chelsea v Manchester United    #CHEMUN
Liverpool v Sunderland    #LIVSUN
Manchester City v Leicester City    #MCILEI
Newcastle United v West Bromwich Albion    #NEWWBA
Southampton v West Ham United    #SOUWHU
Stoke City v Everton    #STKEVE
Swansea City v Crystal Palace    #SWACRY
Tottenham Hotspur v Watford    #TOTWAT

13 February 2016        

AFC Bournemouth v Stoke City #BOUSTK
Arsenal v Leicester City    #ARSLEI
Aston Villa v Liverpool    #AVLLIV
Chelsea v Newcastle United    #CHENEW
Crystal Palace v Watford    #CRYWAT
Everton v West Bromwich Albion    #EVEWBA
Manchester City v Tottenham Hotspur    #MCITOT
Norwich City v West Ham United    #NORWHU
Sunderland v Manchester United    #SUNMUN
Swansea City v Southampton    #SWASOU

27 February 2016        

Leicester City v Norwich City    #LEINOR
Liverpool v Everton    #LIVEVE
Manchester United v Arsenal    #MUNARS
Newcastle United v Manchester City    #NEWMCI
Southampton v Chelsea    #SOUCHE
Stoke City v Aston Villa    #STKAVL
Tottenham Hotspur v Swansea City    #TOTSWA
Watford v AFC Bournemouth    #WATBOU
West Bromwich Albion v Crystal Palace    #WBACRY
West Ham United v Sunderland    #WHUSUN

1 March 2016    

7.45pm kick-offs unless stated
AFC Bournemouth v Southampton    #BOUSOU
Arsenal v Swansea City    #ARSSWA
Aston Villa v Everton    #AVLEVE
Leicester City v West Bromwich Albion    #LEIWBA
8pm Liverpool v Manchester City    #LIVMCI
8pm Manchester United v Watford    #MUNWAT
Norwich City v Chelsea    #NORCHE
Sunderland v Crystal Palace    #SUNCRY
West Ham United v Tottenham Hotspur    #WHUTOT

2 March 2016    

7.45pm Stoke City v Newcastle United    #STKNEW

5 March 2016        

Chelsea v Stoke City    #CHESTK
Crystal Palace v Liverpool    #CRYLIV
Everton v West Ham United    #EVEWHU
Manchester City v Aston Villa    #MCIAVL
Newcastle United v AFC Bournemouth    #NEWBOU
Southampton v Sunderland    #SOUSUN
Swansea City v Norwich City    #SWANOR
Tottenham Hotspur v Arsenal    #TOTARS
Watford v Leicester City    #WATLEI
West Bromwich Albion v Manchester United #WBAMUN

12 March 2016        

AFC Bournemouth v Swansea City    #BOUSWA
Arsenal v West Bromwich Albion    #ARSWBA
Aston Villa v Tottenham Hotspur    #AVLTOT
Leicester City v Newcastle United    #LEINEW
Liverpool v Chelsea    #LIVCHE
Manchester United v Crystal Palace    #MUNCRY
Norwich City v Manchester City    #NORMCI
Stoke City v Southampton #STKSOU
Sunderland v Everton    #SUNEVE
West Ham United v Watford    #WHUWAT

19 March 2016        

Chelsea v West Ham United    #CHEWHU
Crystal Palace v Leicester City    #CRYLEI
Everton v Arsenal    #EVEARS
Manchester City v Manchester United    #MCIMUN
Newcastle United v Sunderland    #NEWSUN
Southampton v Liverpool    #SOULIV
Swansea City v Aston Villa    #SWAAVL
Tottenham Hotspur v AFC Bournemouth    #TOTBOU
Watford v Stoke City    #WATSTK
West Bromwich Albion v Norwich City    #WBANOR

2 April 2016        

AFC Bournemouth v Manchester City    #BOUMCI
Arsenal v Watford    #ARSWAT
Aston Villa v Chelsea    #AVLCHE
Leicester City v Southampton    #LEISOU
Liverpool v Tottenham Hotspur    #LIVTOT
Manchester United v Everton    #MUNEVE
Norwich City v Newcastle United    #NORNEW
Stoke City v Swansea City    #STKSWA
Sunderland v West Bromwich Albion    #SUNWBA
West Ham United v Crystal Palace    #WHUCRY

9 April 2016        

Aston Villa v AFC Bournemouth    #AVLBOU
Crystal Palace v Norwich City    #CRYNOR
Liverpool v Stoke City #LIVSTK
Manchester City v West Bromwich Albion    #MCIWBA
Southampton v Newcastle United    #SOUNEW
Sunderland v Leicester City    #SUNLEI
Swansea City v Chelsea    #SWACHE
Tottenham Hotspur v Manchester United    #TOTMUN
Watford v Everton    #WATEVE
West Ham United v Arsenal    #WHUARS

16 April 2016        

AFC Bournemouth v Liverpool    #BOULIV
Arsenal v Crystal Palace    #ARSCRY
Chelsea v Manchester City    #CHEMCI
Everton v Southampton    #EVESOU
Leicester City v West Ham United    #LEIWHU
Manchester United v Aston Villa    #MUNAVL
Newcastle United v Swansea City    #NEWSWA
Norwich City v Sunderland    #NORSUN
Stoke City v Tottenham Hotspur    #STKTOT
West Bromwich Albion v Watford    #WBAWAT

23 April 2016        

AFC Bournemouth v Chelsea    #BOUCHE
Aston Villa v Southampton    #AVLSOU
Crystal Palace v Everton    #CRYEVE
Leicester City v Swansea City    #LEISWA
Liverpool v Newcastle United    #LIVNEW
Manchester City v Stoke City    #MCISTK
Norwich City v Watford    #NORWAT
Sunderland v Arsenal    #SUNARS
Tottenham Hotspur v West Bromwich Albion    #TOTWBA
West Ham United v Manchester United    #WHUMUN

30 April 2016        

Arsenal v Norwich City    #ARSNOR
Chelsea v Tottenham Hotspur    #CHETOT
Everton v AFC Bournemouth    #EVEBOU
Manchester United v Leicester City    #MUNLEI
Newcastle United v Crystal Palace    #NEWCRY
Southampton v Manchester City    #SOUMCI
Stoke City v Sunderland    #STKSUN
Swansea City v Liverpool    #SWALIV
Watford v Aston Villa    #WATAVL
West Bromwich Albion v West Ham United    #WBAWHU

7 May 2016        

AFC Bournemouth v West Bromwich Albion    #BOUWBA
Aston Villa v Newcastle United    #AVLNEW
Crystal Palace v Stoke City    #CRYSTK
Leicester City v Everton    #LEIEVE
Liverpool v Watford    #LIVWAT
Manchester City v Arsenal    #MCIARS
Norwich City v Manchester United    #NORMUN
Sunderland v Chelsea    #SUNCHE
Tottenham Hotspur v Southampton    #TOTSOU
West Ham United v Swansea City    #WHUSWA

15 May 2016        

Arsenal v Aston Villa    #ARSAVL
Chelsea v Leicester City    #CHELEI
Everton v Norwich City    #EVENOR
Manchester United v AFC Bournemouth    #MUNBOU
Newcastle United v Tottenham Hotspur    #NEWTOT
Southampton v Crystal Palace    #SOUCRY
Stoke City v West Ham United    #STKWHU
Swansea City v Manchester City    #SWAMCI
Watford v Sunderland    #WATSUN
West Bromwich Albion v Liverpool    #WBALIV

MAGOLI YA MISRI VS TANZANIA

Author

MATOKEO YA MECHI ZA KIRAFIKI

Author
Matokeo mechi za kirafiki
England 0 - 0 Ireland
Argentina 5 - 0 Bolivia
Brazil 2 - 0 Mexico
Ufaransa 3 - 4 Ubelgiji
Serbia 4 - 1 Azerbaijan
Russia 4 - 2 Belarus 

RAIS WA FIFA AJIUZULU

Author

“Nilijiskia mkamilifu kwa kugombea tena kwenye uchaguzi wa FIFA nikiamini kwamba kilikua ni kitu muhimu kwa FIFA. Uchaguzi umeisha lakini changamoto za FIFA hazijaisha.
Japokua nina madaraka kutoka kutoka kwa wanachamana wa FIFA, lakini sijiskii kama nina madaraka kutoka kwa dunia nzima ya wapenda soka, wachezaji na vilabu. Pia kwa watu wanaopumua na kupenda mpira na FIFA pia.
Kwa hiyo nimeamua kujiuzulu madaraka yangu niliyopewa na wanachama wa FIFA. Nitaendelea kuwa Rais hadi pale uchaguzi utakapo fanyika. Mkutano wa FIFA utakaofuatia kwenye ratiba ulitakiwa ufanyike 13 May 2016, lakini hiyo italeta ucheleweshwaji usio wa lazima. Nitaiagiza kamati iandae mkutanao mapema kadri inavyowezekana kumpata mrithi wangu”

Matokeo nyumbani | Shirikisho Afrika | EPL | Ligue 1 | Bundesliga | Serie A | La Liga

Author

Matokeo shirikisho |Tanzania bara
Yanga Sc 1 - 1 Etoile du sahel
Simba Sc 0 - 2 Mbeya City
Azam Fc 2 - 1 Kagera Sugar
Polisi Moro 2 - 0 Ndanda Fc

Matokeo EPL
Crystal Palace 0 - 2 West Brom
Everton 1 - 0 Burnley
Leicester 2 - 0 Swansea
Stoke City 2 - 1 Southampton
Chelsea 1 - 0 Manchester United
Matokeo Ligue 1
Nice 1 - 3 Paris SG
Bastia 1 - 2 Reims
Guingamp 1 - 1 Evian TG
Lorient 0 - 1 Toulouse
Metz 3 - 1 Lens
Monaco 1 - 1 Rennes
Matokeo Bundesliga
Bayer Leverkusen 4 - 0 Hannover
Dortmund 3 - 0 Paderborn
Freiburg 2 - 3 Mainz
Hertha Berlin 0 - 0 Köln
Hoffenheim 0 - 2 Bayern Munich
Augsburg 2 - 1 VfB Stuttgart
Matokeo Serie A
Juventus 2 - 0 Lazio
Sampdoria 0 - 0 Cesena
Matokeo La Liga
Real Madrid 3 - 1 Malaga
Dep. La Coruna 1 - 2 Atl. Madrid
Barcelona 2 - 0 Valencia
 

Ratiba za Ligi Ulaya EPL | Ligue 1 | Bundesliga | Serie A | La Liga Ratiba EPL Kesho Jumamosi Aprili18

Author

17:00 Crystal Palace vs West Brom
17:00 Everton vs Burnley
17:00 Leicester vs Swansea
17:00 Stoke City vs Southampton
19:30 Chelsea vs Manchester United
Jumapili Aprili 19
15:30 Manchester City vs West Ham
18:00 Newcastle Utd vs Tottenham

Ratiba Ligue 1
Leo Ijumaa Aprili 17
21:30 Nantes vs Marseille
Kesho Jumamosi Aprili18
18:00 Nice vs Paris SG
21:00 Bastia vs Reims
21:00 Guingamp vs Evian TG
21:00 Lorient vs Toulouse
21:00 Metz vs Lens
21:00 Monaco vs Rennes
Jumapili Aprili 19
15:00 Lille vs Bordeaux
18:00 Montpellier vs Caen
22:00 Lyon vs St Etienne
Ratiba Bundesliga
Leo Ijumaa Aprili 17
21:30 Eintracht Frankfurt vs B. Monchengladbach
Kesho Jumamosi Aprili 18
16:30 Bayer Leverkusen vs Hannover
16:30 Dortmund vs Paderborn
16:30 Freiburg vs Mainz
16:30 Hertha Berlin vs Köln
16:30 Hoffenheim vs Bayern Munich
19:30 Augsburg vs VfB Stuttgart
16:30 Werder Bremen vs Hamburger SV
18:30 Wolfsburg vs Schalke
Ratiba Serie A
Kesho Jumamosi Aprili 18
19:00 sampdoria vs Cesena
21:45 Juventus vs Lazio
Jumapili Aprili 19
13:30 Sassuolo vs Torino
16:00 AS Roma vs Atalanta
16:00 Chievo vs Udinese
16:00 Empoli vs Parma
16:00 Palermo vs Genoa
19:00 Cagliari vs Napoli
21:45 Inter vs AC Milan
Jumatatu Aprili 20
21:45 Fiorentina vs Verona
Ratiba La Liga
Leo Ijumaa Aprili 17
21:45 Levante vs Espanyol
Kesho Jumamosi Aprili 18.
17:00 Barcelona vs Valencia
19:00 Dep. La Coruna vs Atl. Madrid
21:00 Real Madrid vs Malaga
23:00 Ath Bilbao vs Getafe
Jumapili Aprili 19
13:00 Rayo Vallecano vs Almeria
18:00 Granada CF vs Sevilla
20:00 Villarreal vs Cordoba
22:00 Eibar vs Celta Vigo
Jumatatu Aprili 20
21:45 Elche vs Real Sociedad

WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA ENGLAND

Author

Mchezaji bora wa kiume:
Diego Costa (Chelsea)
David De Gea (Manchester United)
Philippe Coutinho (Liverpool)
Eden Hazard (Chelsea)
Harry Kane (Tottenham Hotspur)
Alexis Sanchez (Arsenal)

Mchezaji Bora wa kiume chipukizi:
Thibaut Courtois (Chelsea)
Philippe Coutinho (Liverpool)
David De Gea (Manchester United)
Eden Hazard (Chelsea)
Harry Kane (Tottenham Hotspur)
Raheem Sterling (Liverpool)
Mchezaji bora wa mwaka -wanawake:
Eniola Aluko (Chelsea)
Lucy Bronze (Manchester City)
Jess Clarke (Notts County)
Karen Carney (Birmingham City)
Kelly Smith (Arsenal)
Ji So-yun (Chelsea)
Mchezaji bora chipukizi -wanawake:
Freda Ayisi (Birmingham City)
Hannah Blundell (Chelsea)
Aoife Mannion (Birmingham City)
Nikita Parris (Manchester City)
Leah Williamson (Arsenal)

Matokeo Europa League.

Author

Timu ya Sevilla imeshinda mchezo wake wa kwanza wa robo fainali ya Europa League kwa kuifunga timu ya Zenit 2 - 1 .
Huku Club Brugge ikitoka sare ya bila kufungana na Dnipro huko Ureno.
Nayo Dynamo kiev imelazimishwa sare ya goli 1 - 1 na wageni Fiorentina.
Kwingineko timu ya Napoli ya nchini Italy imeifulumisha timu ya Wolfsburg ya Ujerumani kwa magoli 4 -1.

Matokeo ya mechi
Club Brugge 0 - 0 Dnipro
Dynamo. Kiev 1 - 1 Fiorentina
Sevilla 2 - 1 Zenit Petersburg
Wolfsburg 1 - 4 Napoli

LIVERPOOL YA SONGA MBELE

Author
Liverpool wamefanikiwa kusonge mbele na kutinga kwenye hatua ya nusu fainali kwa kupata ushindi wa bao moja kwa sifuri lililofungwa na kiungo mshambuliaji kutoka nchini Brazil, Philippe Coutinho Correia.
Kwa matokeo hayo, Liverpool watacheza dhidi ya Aston Villa katika mchezo wa hatua ya nusu fainali ya kombe la FA utakaounguruma kwenye uwanja wa Wembely April 19, kwa kutanguliwa na mchezo kati ya Reading dhidi ya Arsenal utakaopigwa April 18.

WAKATI HUO HUO

Mshambuliaji kutoka nchini Italia Super Mario Barwuah Balotelli amedhirisha hadharani hali yake ya kimwili baada ya kukosekana kwenye kikosi cha Liverpool wakati wa mchezo wa hatua ra robo fainali uliochezwa usiku wa kuamkia hii leo huko Ewood Park dhidi ya Blackburn Rovers.
Balotelli amedhihirisha hadharani hali yake ya kimwili kutokana na maswali mengi kuzizima miongoni mwa mashabiki wa klabu ya Liverpool ambapo baadhi yao waliamini huenda alikua na matatizo binafsi.
Balotelli ameonyesha kusikia malalamiko ya mashabiki hao kwa kupiga picha na kuiweka kwenye mitandao ya kijamii ambayo inaonyesha majibu ya kipimo cha joto la mwili wake ambacho kinasomeka nyuzi joto 38.7.

FIGO VIONGOZI WA AFRICA WANAFIKI

Author
Mgombe nafasi ya uraisi wa shirikisho la soka duniani FIFA Luís Filipe Madeira Caeiro Figo amepasua ukweli wa unafiki uliokithiri barani Afrika kuelekea katika uchaguzi wa uraisi utakaofanyika mjini Zurich nchini Uswiz mwezi ujao.
Figo ambaye anaonekana kuwa mpinzani wa karibu wa Joseph Sepp Blatter katika kinyang’anyiro cha uraisi wa FIFA, amepasua ukweli huo alipozungumza na vyombo vya habari wakati wa mkutano mkuu wa CAF ambao jana uliamua nchi ya Gabon kuwa mwenyeji wa fainali za Afrika za mwaka 2017.
Figo amesema baadhi ya viongozi wa soka barani Afrika wamekua wakisambamba propaganda kwa viongozi wenzao na kuwahimiza wampigie kura Blatter, jambo ambalo limemkera sana yeye kama mgombea.

AFCON 2017 FULL DRAW

Author

Group A: Tunisia, Togo, Liberia, Djibouti
Group B: Madagascar, DRC, Angola, CAR
Group C: Mali, Equatorial Guinea, Benin, South Sudan
Group D: Burkina Faso, Uganda, Botswana, Comoros
Group E: Zambia, Congo, Kenya, Guinea Bissau
Group F: Cape Verde, Morocco, Libya, Sao Tome
Group G: Nigeria, Egypt, Tanzania, Chad
Group H: Ghana, Mozambique, Rwanda, Mauritius
Group I: Cote d'Ivoire, Sudan, Sierra Leone, Gabon
Group J: Algeria, Ethiopia, Lesotho, Seychelles
Group K: Senegal, Niger, Nambia, Burundi
Group L: Guinea, Malawi, Zimbabwe, Swaziland
Group M: Cameroon, South Africa, Gambia, Mauritania
*****The group winners and two best second placed teams join hosts Gabon for FINALS

 Tokeo la picha la africon cup PHOTOS

MATOKEO YA JANA NA RATIBA YA LEO

Author
LEO 09/04/2015
Spanish Primera División
9:00 PM - Athletic Bilbao vs Valencia
11:00 PM - Elche vs Getafe
11:00 PM - Villarreal vs Espanyol
JANA
English FA Cup
Blackburn Rovers 0-1 Liverpool
Spanish Primera División
Barcelona 4-0 Almeria
Deportivo La Coruña 1-1 Cordoba
Granada 1-1 Celta Vigo
Rayo Vallecano 0-2 Real Madrid
Italian Coppa Italia
Napoli 0-1 Lazio
Italian Serie A
Parma 1-0 Udinese
German DFB Pokal
Arminia Bielefeld 1-1 Borussia Monchengladbach(Arminia won in Shoot-out)
Bayer Leverkusen 0-0 Bayern Munich (Bayern Munich won in Shoot-out)
French Coupe de France
Paris Saint-Germain 4-1 St Etienne

LEO JUMAMOSI 04/04/2015 RATIBA YA LIGI MBALI MBALI

Author

★Barclays Premier League
2:45 PM - Arsenal vs Liverpool (ESPN, UK)
5:00 PM - Everton vs Southampton
5:00 PM - Leicester City vs West Ham United
5:00 PM - Manchester United vs Aston Villa
5:00 PM - Swansea City vs Hull City
5:00 PM - West Bromwich Albion vs Queens Park Rangers
7:30 PM - Chelsea vs Stoke City

★Spanish Primera División
5:00 PM - Sevilla FC vs Athletic Bilbao
7:00 PM - Cordoba vs Atletico Madrid
9:00 PM - Almeria vs Levante
11:00 PM - Malaga vs Real Sociedad
★German Bundesliga
4:30 PM - Bayer Leverkusen vs Hamburg SV
4:30 PM - Eintracht Frankfurt vs Hannover 96
4:30 PM - SC Freiburg vs FC Cologne
4:30 PM - TSG Hoffenheim vs Borussia Monchengladbach
4:30 PM - VfL Wolfsburg vs VfB Stuttgart
4:30 PM - Werder Bremen vs Mainz
7:30 PM - Borussia Dortmund vs Bayern Munich
★Italian Serie A
1:30 PM - AS Roma vs Napoli
4:00 PM - Atalanta vs Torino
4:00 PM - Cagliari vs Lazio
4:00 PM - Genoa vs Udinese
4:00 PM - Hellas Verona vs Cesena
4:00 PM - Internazionale vs Parma
4:00 PM - Palermo vs AC Milan
4:00 PM - Sassuolo vs Chievo Verona
7:30 PM - Fiorentina vs Sampdoria
10:00 PM - Juventus vs Empoli
★French Ligue 1
6:00 PM - Guingamp vs Lyon
9:00 PM - Lille vs Stade de Reims
9:00 PM - Lorient vs Stade Rennes
9:00 PM - Metz vs Toulouse
9:00 PM - Montpellier vs Bastia
9:00 PM - Nice vs Evian Thonon Gaillard

 Netherlands-Erdivien
16:30 PEC Zwolle vs Willem II
16:30 Vitesse vs Groningen
17:45 Hereenveen vs NAC Breda
18:45 Dordrecht vs Heracles
18:45 FC Twente vs PSV

Portugal-Primeira Liga
15:00 Penafiel vs Boavista
16:00 Benfica vs Nacional
17:00 Belenenses vs Moreirense
19:45 De Ferreire vs Sporting CP

Africa Champions League
15:00 Cabuscrop vs Al Merreikh
15:00 Kano Pillars vs Maghrib
17:00 Al hahly vs APR FC
17:00 Bamako vs Manga Sport
22:01 Big Bullets vs Al Hilal

Kenya-Premier League
12:00 Chemelil Sugar vs Tusker FC

Tanzania-Vodacom Premier League
16:00 Kagera Sugar vs Simba SC
16:00 Coastal Union vs Prisons
16:00 Ndanda vs Mbeya City
16:00 Ruvu Shooting vs JKT Ruvu

YANGA YAJIPANGA ZIMBABWE

Author


 
Iko hivi; Yanga ilimtanguliza mjumbe wake wa kamati ya mashindano, Samuel Lukumay Jumanne iliyopita ambapo alipotua tu kwenye Uwanja wa Ndege wa Bulawayo akagundua kitu.

KATIKA kuthibitisha kwamba imepania kufika kwenye levo nyingine tofauti msimu huu kwenye michuano ya kimataifa, Yanga imeshusha mashushushu wake Zimbabwe ambao wamebaini mitego ya hatari waliyokuwa wamewekewa na wapinzani wao ambao ni FC Platinum.
Iko hivi; Yanga ilimtanguliza mjumbe wake wa kamati ya mashindano, Samuel Lukumay Jumanne iliyopita ambapo alipotua tu kwenye Uwanja wa Ndege wa Bulawayo akagundua kitu.
Wale jamaa wameweka mtego kwamba Mtanzania yeyote atakayetua uwanjani hapo wapate taarifa, unajua alichowazuga ni kuwa yeye ni mfanyabiashara Mtanzania anaishi Afrika Kusini hakai Zimbabwe anapita tu.
Akawachota akili wakajisahau akaingia mjini akaanza kufanya yake akakutana na Watanzania wanaoishi Bulawayo wakampa maelezo muhimu na jinsi watakavyoisaidia Yanga kuanzia kwenye misosi na kila kitu. Lakini kila akizunguka mitaani pamoja na Wabongo wengine hawazungumzi Kiswahili ili wasishtukiwe. Kwahiyo kinachofanyika ni kwamba Yanga ikitua leo itafikia Bulawayo halafu kesho asubuhi itakwenda Zvishavane kwa basi asubuhi ambapo itafikia kwa kushtukiza kwenye hoteli yoyote ili kupumzika kidogo na kupata msosi halafu wakiamka wanapilitiza hadi uwanjani.
Yanga wameafikiana kwamba mbinu hiyo ndiyo pekee inayoweza kuwanusuru na wamepanga kupiga chini hoteli zote walizoandaliwa na wenyewe wao karibu na eneo la uwanja.
Yanga wamegoma kufikia moja kwa moja katika mji huo ambapo sasa kikosi hicho kitaweka kambi ya saa kadhaa jijini Bulawayo kabla ya kwenda Zvishavane ambako kuna umbali utofauti wa kilometa 170 na watakaa kwenye basi saa mbili kabla ya kufika katika uwanja wa Mandava unaochukua jumla ya mashabiki 10,000.
Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tibohora alikiri kupatiwa taarifa hizo ambapo pia alisema wamepata taarifa kuhusu Platinum kuwa wapo katika mazoezi makali wakitaka kulipiza kisasi na tayari makocha wana taarifa zote.
“Unajua wale kule ligi yao ndiyo imeanza sasa hawataki kuweka nguvu nyingi katika ligi ambayo itachukua muda mrefu, wameona nguvu kubwa waiweke katika mchezo wetu kwa kuwa ushindi wa mabao 5-1 tulioupata hapa umewaweka katika wakati mgumu viongozi wao na hata makocha,”alisema Tiboroha.
“Kuna kiongozi wao alinipigia simu wakitaka kujua tunakwenda lini ili watuwekee hoteli nikawaambia watulie kwa kuwa bado tunajipanga, tunataka kuwa makini katika mchezo huu kuepusha kutolewa kwa makosa ambayo tungeweza kuyakwepa, tumejiandaa vyema kiuchumi kukabiliana na wenzetu hawa.” alisema.

Sterling: Sina Tamaa Ya Pesa, Ninahitaji Kucheza Soka

Author
Mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Raheem Shaquille Sterling amezungumza kwa mara ya kwanza tangu alipokataa kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo siku kadhaa zilizopita.
Sterling amezungumza jambo hilo baada ya masuala mengi kuibuka ambapo baadhi ya wadau wa soka nchini England walidiridi kumpachika jina la mwenye tamaa kutokana na mkataba alioukataa kuwa na ofa ya paund laki moja kama mshahara wake kwa juma.
Mshambuliaji huyo ambaye alikuwa sehemu ya kikosi cha England ambacho kilicheza mchezo wa kuwania kufuzu fainali za mataifa ya barani Ulaya mwishoni mwa juma lililopita dhidi ya Lithuania na kufanikiwa kufunga bao lake la kwanza miongoni mwa mabao manne, amesema anashangazwa na tuhuma zinamuandama, ili hali ana haki ya kufanya maamuzi.
Amesema soka ndio maisha yake na linapokuja suala la mkataba hana budi kufikiria kwa kina kabla hajafanya maamuzi ya kuusaini, hivyo amesisitiza suala la kuheshimiwa katika hilo.
Sterling mwenye umri wa miaka 20, amerejesha salamu kwa wanaomponda wanaomsema vibaya kwa kuwaambia hana tabia ya tamaa na msimamo aliouweka haumaanishi kama anahitaji kikubwa zaidi kwenye mshahara wake wa juma kama wadau wengi wanavyodhani.
Amesema lengo lake ni kutaka kucheza soka na mwishowe kutwaa mataji kama ilivyokua kwa wachezaji waliopita katika mchezo huo ambao unapendwa ulimwenguni kote, hivyo jambo la pesa si chochote katika maisha yake.
APRIL 02 ------ STERLING 01
Raheem Sterling, akaongeza jambo katika mazungumzo yake wakati akihojiwa na shirika la utangazaji la Uingereza BBC, kwa kusema wapo wanaomshauri mema katika maisha yake kama mama yake mzazi pamoja na wakala wake na siku zote amekua anaamini anayoambia katika mlengwa wa kulia yana mantiki maisha mwake.
Amesema wapo wengine ambao huenda wakachukizwa na ushauri ama maamuzi anyoyafanya lakini ukweli ni kwamba yeye ataendelea kuwa binaadamu ambaye anafanya, anachokitaka kwa maslahi ya soka lake na pale alipo kwa sasa.
Mkataba wa sasa wa Raheem Sterling unampa fursa ya kulipwa mshahara wa paund 35,000, kwa juma na upo mbioni kufikia kikomo hali ambayo inawapa kisulisuli viongozi wa klabu ya Liverpool.
Siku mbili zilizopita taarifa zilizochapishwa katika vyombo vya habari zilieleza kwamba uongozi wa Liverpool unatarajia kumsainisha mkataba tofauti na ule wa mshaha wa laki moja kwa juma, na kinachosemekana huenda mshahara wake ukafikia paund laki moja na themanini.
Sterling: Sina Tamaa Ya Pesa, Ninahitaji Kucheza Soka

Benchi La FC Bayern Munich Halikaliki, Kisa Alaba

Author
Mabingwa wa soka nchini Ujerumani FC Bayern Munich wapo katika hasara kubwa ya kuingia majaribuni kufuatia majeraha yanayomsibu beki wa pembeni kutoka nchini Austria, David Olatokunbo Alaba.
Alaba, ambaye yupo kwenye kiwango cha juu msimu huu, amewatia mshawasha viongozi wa benchi la ufundi la klabu hiyo, baada ya kuumia goti la mguu wake wa kushoto, wakati wa mchezo wa kuwania kufuzu fainali za mataifa ya barani Ulaya ambapo Austria walikua na kibarua cha kuwakabili Bosnia and Herzegovina.
Alaba, alipata dhoruba la majeraha ya goti baada ya kuchezewa ndivyo sivyo na beki wa Bosnia and Herzegovina Ermin Bicakcic.
Kutokana na mkasa huo, huenda beki huyo mwenye umri wa miaka 22 akakaa nje ya uwanja kwa kipindi chote cha msimu huu kilichobaki, kutokana na vipimo kuonyesha anahitaji mapumziko ambayo yatakwenda sambamba na matibabu.
Taarifa za awali kutoka ndani ya FC Bayern Munich, zimeeleza kwamba Alaba atapumzika kwa kipindi cha majuma mawili ili kuangalia hali yake itakavyo endelea, na kama itakua tofauti na hapo atabaki chini ya uangalizi wa madaktari kwa zaidi ya majuma saba yajayo.
Kuumia kwa Alaba, kunaaminisha ataukosa mchezo wa hatua ya robo fainali wa ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya FC Porto utakaochezwa April 15, na subra ya matibabu yake huenda ikaendelea kumuweka nje zaidi na kuukosa mchezo wa mkondo wa pili baina ya klabu hizo ambao utachezwa April 21.
Mbaya zaidi kama mambo yataenda mrama na klabu yake ikifanikiwa kutinga hatua ya fainali, Alaba ataukosa mchezo huo ambao kwa mwaka huu umepangwa kupigwa mjini Berlin nchini Ujerumani, June 6.
Benchi La FC Bayern Munich Halikaliki, Kisa Alaba