HATUJA PENDA TUWE HIVI -01

Author

HADITHI,,,,
HATUJAPENDA TUWE HIVI,
SEHEMU YA KWANZA (1),
MTUNZI Deo Young Massawe
MAWASILIANO 0769297430
                   sehemu ya kwanza (1)
  Ilikua siku ya tarehe 6 mwezi wa pili,siku hiyo kwa wanafunzi katika shule mbalimbali walifanya maadhimisho ya kupinga  vitendo vya unyanayasaji wa wanawake hasa kitendo cha ukeketaji kwani tarehe hiyo ndo ilikua maalumu duniani kote.
  Katika shule moja ya msingi iliyopo Tengeru mkoani Arusha basi kulifanyika maandamano   ya wanafunzi huku wanafunzi wakishika mabango yenye maandishi mbalia mbali ya kukataa vitendo hivyo.
Katika maandamano hayo kulikua na mwanafunzi aitwae Genes aliekua darasa la  saba, nae alikua kiongozi wa maandamano hayo yaliyokua yanaanzia Tengeru hadi uwanja wa sheikh Abed uliopakana na kituo kikuu cha mabasi ya mkoani.
Walipofika maeneo ya Sanawari basi wanafunzi wote walisikitika kumuona msichana anaeshangaa maandamano huku akilia kwa sauti ila hawakujua  analia kwa sababu gani,Genes alipomchunguza aligundua ni msaidizi wa kuuza vyakula kwa mamalishe kwani alisimama pembeni ya viombo na mwenyewe alibeba vikombe na maji,
"huyu mtoto mzuri mbona analia mwenyewe,? ngoja siku nikija mjini nitampitia hapa nikuulize maana ni mzuri sana " Genes alikua tayari kashaanza  kutamani wanawake kwani ndipo alifika umri wa kabalehe kwa hiyo alisemea  tena
"nakuja kuongea nae tu na kigezo ni hiki hiki kumuuliza kwa nini ulikua unalia? na lazima ataongea na mimi  maana huku shuleni  nikiongea  na akina asha wananambia  bado sijakua mara sijui kaoge"  alijisemea huku akiendelea kuongoza kundi la wanafunzi wenzake kuelekea Uwanja wa Sheikh Abeid,
  Baada ya ule msafara kupita eneo lile la Sanawari alipokua analia mtoto wa kike mama mmoja alifoka,
"we Miriam nakufukuza kazi sasa hivi, nakwambia osha  vikombe nawe unaanza  kulia hebu fanya kazi  wewe huoni kama nakulea  kama mama yako" aliongea mama huyo mbele ya huyo msichana wa kike aitwae Miriam na hapo Miriam alijikaza na kuendelea na kazi zake huku akiomba mungu aendelee kumpigania hadi siku ya mwisho kwani aliishi maisha ya mateso na alilkua mtu kulia mara kwa mara  ingawa hata mama aliyekua  anaishi nae hakujua sababu ya Miriam kulia ovyo na mama huyo hakuwahi kimbembeleza kujua kinachomliza mara kwa mara  labda kutokana na kua sio mama yake.
  Jioni ilifika na wanafunzi wa shule ya akina  Genes walikua tena katika maandamano ya kurudi kurud shuleni na hapo Genes alikaa makini kuangalia sehemu aliyopo yule msichana,
"nataka nimuone huyu mdada tena kama atakua amenyamaza" alijisemea moyoni.
Kwa mbali alimuona na ghafla akamshuhudia tena kaanza  kulia na mbaya zaidi alimuona  mama alietoka na mwiko na kumpiga  kichwani huku akiambatanisha na maneno makali  ambayo yalimsikitisha Genes
"pumbavu zako we mtoto wa kike ina  maana ukiona watoto wa shule unaanza kulia hapa kazini kwangu umekuja kulilia shule au umekuja kufanya kazi? ebooooh kama ungetaka kusoma shule ungebaki kwenu usome shenzi wewe peleka  wateja maji ya kunawa mikono na saiv nitakufumua futikaaaaaa!" alifoka sana mama huyo nao wanafunzi kama kawaida wakiona mtu anapigwa  walianza makelele,
"oyoooooo,!! weeweee!! hasira za mumeo usimtolee mfanyakazi wako weeweeee" walicheka sana na kufurahia ila Genes pekee alidondosha  chozi kuona jinsi msichana mdogo kama yule anavyoteseka kwani ingebidi mda huo awe shule.
Usiku huo Miriam alilala huku akiwa na mawazo sana kwani alijiona kama sio mtu huku duniani kwa mateso aliyokua anapata  alifkiria maisha aliyopitia tokea akiwa mtoto na alifikiria kitendo kilichomfanya awe mazingira yale kwa mda ule na kuona kweli amepitia mengi,
"sasa nitateseka hivi hadi lini, heri ningebaki nyumbani tu nikakubaliana na ile hali iliyojitokeza ila huku nafanyishwa kazi ngumu huku nikiteswa kiasi hiki ni bora ningekubaliana na ile hali ya kule nyumbani" alijisemea Miriam huku akikumbuka  yaliyomtokea maishani  mwake hadi yeye kuwa mazingira yale hivyo kutoa machozi kwake ilikua sawa na mtoto wa tajiri kutabasamu aonapo wazazi wamemletea zawadi.
Genes nae usiku kama kawaida kitanda  kimoja na mtoto wa Mjomba wake aitwae Dany hivyo alilala huku akiwaza kwa nini yule msichana aliwaona akalia  na alitamani sana kujua kwa nini na pia alimtamani hadi awe mpenzi wake, alipotelea usingizini huku mawazo yakiwa  kwa yule msichana. Mwendo wa saa  kumi na moja asubuhi Dany aliamka kukojoa katika kopo  lilokua mvunguni na kurudi kulala ila kabla ya kupotelea usingizini aliskia Genes akiwa anaongea ndotoni ila aliskia maneno yake tu nayo yalikua hivi
"jaman mbona mchana ulilia  hapa ulipigwa na mama yako kwani umemfanyaje ??"
"aah  unadanganya sasa we umenionaje kwenye  kundi la  watu wengi vile na ukiniona sasa unalia ?"
"me nilikupenda sana na nikasema nitakuja kukubembeleza  ndo mana leo  nikaja hivyo tusogee hapo nyuma ili mama yako asije kunipiga mwiko"
"sogea basi nikusalimie kwa busu  kwani wewe huangalii tamthiliya za wazungu wanavyosalimiana" 
usinishike kidudu changu jaman naskia mkojo wa ghafla achia  huko toa mkono wako nitakukojolea ondoaaa"
Dany aliogopa kusikia kaka yake anataka kukojoa kitandani hivyo akaamua kumshtua.
Genes alishtuka na kumkumbuka mwalimu wake wa darasa la  tano wa sayansi alivyowafundisha  kuhusu kubalehe na kuota  ndoto pevu ambazo huja wakati asubuhi,
"kweli mwalimu hakudanganya" Genes aliongea huku akikagua nguo yake ya ndani na kuikuta  imechafuka.
Dany yeye alikua hajui chochote kwani alikua anasoma darasa la  tatu.
"hakika huyu mwanamke lazima nitamtafuta tu aniambie sababu za kulia na kama ni msaada nitampa maana kaniotesha ndoto tamu huyu Dany hata amenishtua wa nini angeniacha  nimalize hata kumpigia busu" alijisemea Genes huku akijiandaa na shule na siku hiyo ilikua ijumaa na  jumamosi ndio alipanga kuenda kwa msichana aliemwotesha ndoto nzuri na tamu,
"hii ndoto itakua Kweli tu siku moja ngoja kesho nimuibukie pale anapokaa ila sasa huyo mama yake hatanitoa na mwiko kweli ? ila me ndio chali ya Arusha naweza  kukuibia  soksi bila ya kukuvua viatu au kukuvua shati  kabla ya koti" hakika Genes alipagawa ghafla kwa huyo binti hivyo alienda shule kisha jioni alirudi nyumbani mawazo yote yakiwa kwa huyo binti na kabla ya kulala akamuonya Dany,
"we Dany siku ukiskia naongea usiku usinistue tena"
"apana kaka niliogopa usije kukojoa kitandani maana niliskia unasema unakojoa" Dany alijibu
"hata nikikojoa kwani we unafua  mashuka ?we usiniamshe tena"
Wote walilala  huku Genes akiomba  mungu aote  tena ndoto ya usiku uliopita.
  Usiku huo ulikua zamu ya Miriam kuota  jinsi alivyolia mbele ya wanafunzi waliopita barabarani na aliota  akisema  hivi,
"we hapo mbona wenzako wananicheka na wewe unanililia au unanionea huruma?"
"njoo nkupe mkono wa hongera"
Miriam aliota  akitamka maneno hayo ila alipotaka kunyoosha mkono basi aligusa ukuta  na hapo akashtuka kwani alilala akiwaza kitendo kila na hapo sura ya Genes ilikua kichwani mwake..
  Asubuhi ya tarehe 8 mwezi huo wa pili palikucha vizur na hali ya barid ilizoeleka katika jiji la  arusha  ila kwa Miriam kukaa jikoni  mda mrefu alipenda  kuvaa nguo nyepesi zilizoonesha chuchu kuchomoza kama mkuki ikilinganishwa ndio kipindi alivunja ungo. Wateja wakiume  waliokuja kula chakula kwake walimtania kwa kusema
"ziwa konzi mama kila saa  ni saa  sita je ukikua  kidogo hatutauana kweli?".
Maneno hayo yalimfanya Miriam awe anacheka  cheka na kukimbia kuogopa mtu asimguse maana kila alipokua anaosha mteja  wa kiume basi mteja  hufanya kumgusa kwa mbali kitu kinachofanya aruke kama chura  na anapomwaga maji basi mama mlezi wake humgombeza kwani pia mama aliona wivu kwa kila mwanaume kumtamani mtoto huyo,
" yani kila mwanaume anamuona tu huyu mtoto ambae hajui hata kufua chupi na mimi mama lao nikiwa hapa?".
  Jumamosi hiyo Genes aliamka mapema akavaa zake ambazo Dany ndo alifanya kazi ya kumwambia umependeza au la  hivyo alibadili nguo hadi pale alipojiona ametoka  bomba,
"huyu mtoto lazima anisikilize tu" aliongea Genes huku akitinga kofia yake na kuondoka hakika kwa uvaaji wake basi hakua mtindo wa mwanafunzi kwani alivaa  suruali ya kubana na viatu vikubwa  akawa anatembea  kama mwanapolo  alietoka Mererani kukagua migodi ya Tanzanite akapanda daladala ya kuelekea Sanawari....

Itaendelea

0 comments:

Post a Comment