Wakati wawili hao wakipatana picha nyingine zimezagaa mtandaoni zikimuonyesha Diamond akiwa na mrembo mwimbaji wa nchini Uganda,Zari the boss lady wakiwa kimahaba huku mashabiki wakijiuliza ni kweli Diamond aachana na Wema na sasa yupo na mrembo huyo?
Habari zingine zinasema mrembo huyo ametua nchini kufanya ngoma na Diamond.






0 comments:
Post a Comment