Kabla ya mechi hii Mtibwa Sugar walikuwa nafasi ya 11 katika msimamo wakijikusanyia pointi 24 baada ya mechi 21.
Leo
ilikuwa mechi ya 22 na kuvuna pointi tatu kumewasogeza mpaka nafasi ya 6
katika msimamo, pointi moja nyuma ya Mgambo wanaoshika nafasi ya tano
kwa pointi 28 baada ya kutoka suluhu dhidi ya Azam fc jioni CCM
Mkwakwani Tanga.
Hali
imezidi kuwa dhoofu kwa Prisons ambao baada ya kipigo cha leo
wanaendelea kuwa nafasi ya 13 kwa pointi zao 21 baada ya kucheza mechi
22.






0 comments:
Post a Comment