Habari zinasema kuwa kwenye ugomvi huo Minaj alichukua fimbo na kuvunja kioo cha gari ya mpenzi wake ambayo aliinunua yeye mwenyewe nicki minaj wakati wa mapenzi motomoto.
Kana kwamba haitoshi Nick alichukua nguo za mpenzi wake na kuzitupa kwenye takataka,tukio hilo lilikuwa kama filamu.
Inasemekana kwamba polisi wakafika eneo la tukio lakini hakukuwa na mtu aliyekamatwa na sababu kuu ni kwamba msanii huyo ndiye mmiliki wa ndinga hiyo, alimuachia tu atumie wakati walipokuwa pamoja.
Mpenzi wake huyo alisindikizwa na polisi nje na kuondoka zake,na kwa sasa anaonekana kwamba amebadilisha zile tattoo kubwa za nicki minaj alizojichora.
Inasemekana kwamba polisi wakafika eneo la tukio lakini hakukuwa na mtu aliyekamatwa na sababu kuu ni kwamba msanii huyo ndiye mmiliki wa ndinga hiyo, alimuachia tu atumie wakati walipokuwa pamoja.
Mpenzi wake huyo alisindikizwa na polisi nje na kuondoka zake,na kwa sasa anaonekana kwamba amebadilisha zile tattoo kubwa za nicki minaj alizojichora.
0 comments:
Post a Comment