KURA YA MAONI APRIL 30

Author
Rais Kikwete atangaza rasmi tarehe ya uchaguzi wa kura ya maoni kuwa itakuwa ni April 30, muda wa kampeni utakuwa ni Machi 30 hadi April 29, Tume ya uchaguzi kufanya upya usajili wa wapiga Kura January hadi Machi 30, asisitiza wanaotoa Elimu juu ya Katiba wazingatie sheria ya Kura ya Maoni.Photo: #HOTMIX (12:00 Jioni) KURA YA MAONI APRIL 30
Rais Kikwete atangaza rasmi tarehe ya uchaguzi wa kura ya maoni  kuwa itakuwa ni April 30, muda wa kampeni utakuwa ni Machi 30 hadi April 29, Tume ya uchaguzi kufanya upya usajili wa wapiga Kura January hadi Machi 30, asisitiza wanaotoa Elimu juu ya Katiba wazingatie sheria ya Kura ya Maoni.

Nini maoni yako kuhusiana na hilo.

0 comments:

Post a Comment