AUWSA WAPEWA SEMINA YA UKIMWI

Author







Semina  hiyo iliyo kuwa ina endeshwa na Dk William mlay kutoka  katika hosipital ya celian iliyopo Arusha   ilifanyika katika ukumbi wa olasiti garden na kuudhuriwa na wafanya kazi takriban wote wa mamlaka ya maji safi na maji taka jiji la Arusha kwa awamu  tofauti tofauti
Baada ya kufungua kwa sala na utambulisho mfupi dk William mlay alianza kwa kutoa historia fupi ya HIV/AIDS
2009­­ .Kulikuwa na wangonjwa  wa  ukimwi milioni 33.3 duniani kote
Na asilimia kumi 10% ya watu wana ishi sahara wakati huo huo 1/3 ya wagonjwa wapo sahara
Mgonjwa wa kwanza kugunduliwa na HIV  nchini Tanzania ilikuwa mwaka 1983 na walikuwa wawili
Hadi mwaka 2007 walikuwa milioni mbili na kati ya hao wagonjwa laki sita wali hitaji matibabu

AINA ZA HIV ZILIZOPO AFRIKA NI MBILI

1.       [ACD].Ni ya muda mfupi ila haitesi sana
2.       Ya muda mrefu ila ina tesa sana


NJIA ZA MAAMBUKIZI

·         .Kujamiiana bila kutumia kinga
·         kuchangia vitu nyenye ncha kali kama wembe sindano nk
·         Maambukizi kwa damu isiyo salama
·         Mama kwenda kwa mtoto nk

JINSI VIRUSI WANAVYO SHAMBULIA MWILI

Binadamu ana DNA wakati kirusi kina RNA,Hivyo RNA wakiingia kwenye DNA  hushambulia white cell hasa kwenye kiini ambapo hushambulia CD4  .
Kadri wanavyo kula ndiyo wanavyozidi kuzaliana kwa wingi .
Japo CD4 zipo zaidi ya milioni kwenye mwili kila ikishambuliwa hufa na haifanyi tena kazi
 Zamani ilikuwa hadi mgonjwa CD4 zishuke hadi 200 ndipo ulikuwa huanze dawa siku  hizi ni kuanzia 350
Mtoto mdogo huanza dawa pale tu anapo gundulika ana HIV na mama mjamzito pia
VIRUSI hadi vipewe dawa ya aina 3 ukimpa dawa ya aina moja baada ya muda hujibadilisha na kutosikia kabisa dawa
HAKUNA dawa ya kuuwa virusi bali kuna dawa ya kuifanya isi zae [tasa] baadae huzeeka na kufa
Lakini ukiacha dawa ana endelea kuzaa
VIRUSI hupenda sana mishipa ya fahamu
Kwa kawaida mtu ana takiwa awe na CD4 700 -2000
MGONJWA kwa  muda wa miaka 2-4  huwa hawa teseki sana ila baadhi husumbuliwa na tezi,vipele,jasho na maumivu ya viungo
MGONJWA kwa muda wa miaka 5-8 uzito kupungua, kuharisha, utando mweupe, homa za mara kwa mara na kubadilika kwa ngoi
KUPIMA DNA TSH 300000 na ukijitahidi kwa mwaka una weza kuongeza CD4 100

FAIDA ZA KUJUA AFYA MAPEMA

1.        Ina saidia kulinda afya yako
2.        ina saidia kulinda CD4
3.        Kumlinda motto
4.        kuwalinda wengine
5.       kuepuka gharama

NJIA ZA KUZUIA HIV/AIDS

Ø  Kutumia kinga kwa usahihi
Ø  Tohara mtu ambaye ajafanyiwa tohara ni rahisi kupata vvu wakati wa kujamiiana
Ø  elimu juu ya vvu
.Kinga [PEP] Ipo ya kuzuia maambukizi ukiwahi masaa yasiyo zidi 72 ila ni lazima ujieleze  vizuri ndipo upewe dawa


NAMNA YA KUONGEZA CD4

Kwa kula vitu fresh 
Mboga mboga, Samaki, Kuku
Ukwaju, Tangawizi, Ubuyu
Vitunguu swaumu
Epuka kutumia sukari
asali hutumika kuuwa virusi
Maji ni muhimu
Virusi hufa mara moja waki kaa hewani wanahitaji joto kama la mwili

WASILIANA NA DK WILIAM
0754 368295
 




0 comments:

Post a Comment