MUNGU IBARIKI TZ AJALI NYINGINE TENA

Author
Mtu mmoja afariki na watatu kujeruhiwa leo Asubuhi katika ajali iliyotokea daraja la Wami mkoa wa Pwani,iliyohusisha lori lenye namba za usajili (T 507 DAE) ns basi la Simba Mtoto (T 501 ERZ)
Inasemekana chanzo cha Ajali hiyo kimetokana kwa kufeli kwa mfumo wa breki za Lori hilo ambalo limesababisha ajali hiyo kutokea na kusababisha dereva wa lori 'Nassoro Ramadhani' kufariki.

0 comments:

Post a Comment