MARAFIKI CLUB-02

Author
Marafiki Club~2

By Sparner Boy 0765148781

ilipoishia..

Wakati bado wanaendelea kupeana mambo walisikia sauti nyuma yao"nyieeee"

ENDELEA

Roy haraka alinyanyuka pale sofani akachukua bukta yake wakati huo Rehema amefunika utamu wake kwa mikono."Ghati sio mimi,Roy kanilazimisha akiya Mungu mi sikuwa nataka"
"Haina Shida mimi nimerudi kuchukua simuya mama wala msiogope"
Aliongea maneno hayo Ghati na kuingia Chumbani kwa mama Roy na haikupita muda akatoka na kuondoka akiwaacha Roy na Rehema wakiwa bado wapo kwenye hali ya mshangao

"roy si nilikuambia mimi sitaki"
"kwani tatizo ni nini unamuogopa Ghati?"
"si umeona katukamata?"
Roy badala ya kujibu alimfuata Rehema pale sofani akamkumbatia mda huo Rehema bado mikono alikuwa ameziba utam wake,alianza kumshika sehem mbalimbali na baada ya mda Rehema alilainika na safari hii wakaamia chumbani kuendeleza mchezo wao uliokuwa umekatishwa na ujio wa Ghati.Jioni ya siku hiyo Roy alikuwa mwepesi sana na mwenye furaha ya ajabu,kila akikumbuka raha alizopata kutoka kwa Rehema alijikuta akicheka peke yake.Kwanzia siku hiyo ukawa ndio mchezowao kila wanapopata nafasi popote Roy na Rehema walikuwa wanacheza mchezo wa kikubwa.Roy kuchati bado ilikuwa jadi yake,alikuwa na wapenzi wengi sana kwenye mitandao ya kijamii hasa facebook,wapenzi wake hao walikuwa wanamliwaza pindi Rehema anapokuwa mbali,walikuwa wanafanya mapenzi kwa njia ya simu(sex phone) pamoja na kuitana majina ya kimahaba.Mmoja wa wapenzi wa Roy alikuwa ni Joan,Mrembo huyu aliekuwa amejitambulisha kwa Roy kuwa anatokea mkoani kilimanjaro alitokea kuichanganya sana akili ya Roy na mara nyingi wakifanya mapenzi kwa njia ya kuchati Roy alikuwa anafika mwisho ni kama wamefanya mapenzi ana kwa ana yani Joan alikuwa hodari sana kwenye michezo ile.Roy alimpenda sana na kuna wakati alijuta kwanini alizaliwa kenya asingezaliwa Tanzania aweze kuwa na Joan.Mara nyingi walikuwa wanatiana moyo kuwa ipo siku wataonana.Miezi sita baadae mambo yalianza kubadilika kwa upande wa Rehema,Siku moja asubuhi akiwa na familia yake mezani wanapata kifungua kinywa,ghafla binti yule aliinuka na kukimbia jikoni uku ameziba mdomo kwa mikono.Baada ya kuondoka mama Rehema alimwambia mumewe
"unajua huyu mtoto simuelewi"
"kivipi?"
"mmh,sijui mume wangu ila tuombe mungu"
"kuna tatizo gani"

Mama Rehema hakujibu swali lile wakaendelea kunywa chai..

* * *

Mama Rehema alipohisi hali ya tofauti kwamwanawe alimfuata siku moja chumbani kwake,"Rehema kwa nini umelala saa hizi unaumwa""Hapana mama""Rehema mwanangu,mimi ni mama yako usinifiche,Hiyo mimba ni ya nani""mama sina mimba""bora niambie mapema nijue nakusaidia vipi,baba yako atatuuwa pia kumbuka wewe ni mtoto wa kike na ukiaribika wa kulaumiwa ni mimi,haya sema hiyo mimba ni ya nani?"

"ni..ni..ni ya Roy mama naomba nisamehe"
"Roy,huyu masaa yote akitembea barabarani yupo bize anabonyeza simu?"
"nd..ndio nisamehe sirudii tena"
"nyamaza mtoto mal*ya sana wewe,sasa kamuambie una mimba yake na jibu atakalokupa uje uniambie haraka,aibu gani unaniletea?""

""nisameh.."

"na akiikataa usimlazimishe mwambie ulikuwa unamtania tu wala hauna mimba umeniskia?"

Mama Rehema aliongea uku midomo inamtetemeka kwa hasira na Rehema akaitikia bila kujua kwa nini mama yake alimwambia maneno yale.Rehema alijiandaa akampigia Roy"roy upo wapi""nipo nyumbani Rehema wangu niambie""nataka kukuona nimekumis""eeh ulijuaje njoo mama katoka nipo mwenyewe na Ghati""ok nakuja"
Roy alifurah kusikia Rehema anaenda kwake na haikupita muda Rehema alifika akasalimiana na Ghati kisha akanyooka chumbani kwa Roy.Roy Alimuwah akamkumbatia ila Rehema hakuwa na raha,kitu hicho Roy alikigundua ila hakutaka kuuliza alipanga baada ya mechi ndio angeuliza,Alimv
uta Rehema kama kawaida akaanza kupapasa mapaja akipanda juu ila kabla hajafika mbali Rehema aliushika mkono wa Roy na kuutoakitu kilichofanya Roy ashangae"Roy subiri kwanza,unajua mwenzako umenipa matatizo?""matatizo gani""nina mimba yako na mama ameshaanza kunihisi""unasema,we mshenz skujui naomba usiniaribie maisha kwanza toka chumbani kwangu""haha,kumbe wewe mwoga ee,,nilikuwa nakutania tu""daah,sio vizuri hivyo yani apa tumbo joto""sasa leo tusifanye sijameza kidonge afu nipo kwenye siku za hatari"Roy alielewa,Rehema akaondoka.Ilipita wiki moja bila Rehema kwenda kwa kina Roy,Siku moja majira ya jioni Roy akiwa nyumbani Rehema alimtumia meseji"Roy njoo kwetu nipe raha nipo peke yangu""nakuja mpenzi kuna usalama lakini?""ndio,tutafanyia jikoni ata mara moja tu niweze kulala""poa,vua chupi kabisa siunajua ni fasta""poa"Roy aliondoka nyumbani ndani muda mfupialifika ambapo alimkuta Rehema getini akimsubiri wakaingia na kwenda mpaka jikoni.Kwa kuwa ni haraka Rehema alipandisha kimini aliyokuwa amevaa akashika sink la kuoshea vyombo Roy akashusha suruali yake mpaka magotini akatoa mashine yakena kuichomeka kwa Rehema,wakati anaichomeka taratibu alisikia sauti ikimuambia"hapo hapo mshenzy wewe""baba ndio huyu Roy niliewaambia"
"tulia na wewe,kijana endelea na unachokifanya"
Roy kabla hajasema chochote baba Rehema alimpiga teke la kwenye mbavu akaanguka chini kama mzigo,kabla hajakaa sawa mama Rehema akatokea uku anapiga makofi.....

itaendelea

posted from Bloggeroid

0 comments:

Post a Comment