MAHALI: ARUSHA
KAZI: MUSICIAN/BIZZNESMAN
KUZALIWA: 04/08/1989 SONGEA
Leons ali anza maisha yake ya muziki akiwa shule ya msingi japo hakuipa uzito sana hadi alipo jiunga na shule ya sekondari ya oljoro mwaka 2004 ambapo walijiunga wakiwa watatu
Leons Kengwa [ley kiz]
emanuel daniel [immam daz]
johnson kitalula [black rhino]
Na kutengeneza kundi lililo jipatia umaarufu mkubwa shuleni lililo julikana kama TERO SQUARD
Japo makundi mengi yalijaribu kuleta upinzani kama vile TSUNAMI CAMP ilikuwa chini ya DIZZO BOY na FAVII bado TERO SQUARD ili ibuka mshidi hadi mwalimu wa michezo kuipa nafasi ya kutumbuiza kwenye maafali ya kidato cha nne ya mwaka 2006
Mara tu baada ya kumaliza kidato cha nne nyota ya LEIKIZ iliendelea kung'ara kwani aliendelea kupata nafasi ya kuonyesha kipaji chake katika kumbi mbali mbali kila mara kukiwepo tamasha ACTIVE CLUB au TRIPLE A bhasi mara nyingi kabla msanii mkubwa kupanda LEYKIZ amekuwa akipanda yeye kwanza
Leo hii ni muda umepita ila LEY KIZ bado yupo na bado ana fanya muziki ana nyimbo takribani 10
Zilizo achiwa ni mbili
KICHWA KINAUMA ft YOUNG CASH
BOUNCE LIKE THIS ft ODINARI
Hits zote zimefanywa kwa mkali DX studio ni NOIZ MAKERS
BOUNCE LIKE THIS aliyo mshirikisha ORDINARI wa JAMBO SQUARD ikiwa ndiyo habari ya mjini kwa sasa ikipigwa na radio station karibu zote za hapa ARUSHA na kufanya interview na RADIO kadhaa leo nakuomba uitafute uisikilize kisha utoe maoni yako
kusikiliza nyimbo zote za LEY KIZ ingia hapa
www.mkito.com
0784002688 , 0759428656 , UTUMIWE WHATTSAPP
SPECIAL TENX KWA CLASS 2007 OLJORO SEC
MAONI /USHAURI
LEONS KENGWA AKA LEY KIZ
0759428656






0 comments:
Post a Comment