Paul Scholes amekuwa wa kwanza kumwakia mchezaji huyo amesema "sipendelei, labda mwisho wa mchezo hata hivyo mimsi muumini wa kufanya hivyo"
Scholes aliendelea kwa kusema "inatakiwa kufanya hivyo wakati mkiwa kwenye kordokuelekea vyumbani mbali na watu wengi, ila sipendelei wakati wa mapumziko"
kitendo hicho cha Ozil kinafanana na cha Van Persi na Santos.






0 comments:
Post a Comment