WATU 45 WAUWAWA
16:02:00
No comments
Kiasi cha watu 45 wameuawa kwenye eneo la
kaskazini mashariki mwa Nigeria kutokana na mashambulizi ya Boko Haram,
huku polisi kwenye mji mkuu Abuja ikitumia gesi ya machozi kuwazuia
wabunge kuhudhuria kikao muhimu kilichokuwa kiamue ombi la Rais Goodluck
Jonathan kuongeza muda wa hali ya hatari kwenye eneo hilo la kaskazini
mashariki.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment