CASILLAS ASEMA LEO ANATAKA KUBADILISHANA JEZI NA BALOTELLI

Author


Kipa mkongwe wa Real Madrid,Iker Cassilas amesrma leo anataka kubadilishana jezi na mshambuliaji wa Liverpool lakinni si wakati wa Mapumziko.Casillas amesema alipanga kufanya hivyo kwenye mchezo wao wa kwanza Ligi ya Mabingwa Uaya uwanja wa Anflied.Lakini baada ya kuingiza matatizo baada ya Baloteli kubadilishana jezi na Pepe Ikashindikana.Cassilas amesema atafanya hivyo leo kwenye mechi dhidi ya Liverpool Ligi ya Mabingwa Ulaya.

0 comments:

Post a Comment