NIFANYE NA MIMI KAKA DICK -05

Author


 CHOMBEZO:NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-05

Mtunzi:Juma Hiza

0712988278


Sikutaka kukurupuka kuingia kwa pupa mchezoni kwa wakati ule, nilipanga kuwa mpole tena makini ili hata pale nilipotaka kuamua kula nile kwa kufaidi utamu wote mpaka ndani. Nilitumia katika falsafa ile isemayo ‘Ukitaka kufaidi utamu wa ndizi sharti uimenye maganda yote’.

Precious alizidi kutoa miguno mbalimbali ya kimahaba iliyozidi kuufanya mtarimbo wangu usimame kwa hasira, ukitamani kuchana suruali yangu. Ulisimama haswaa! Nilihisi ukidondokwa na majimaji laini yaliyoashiria kukitamani kitumbua cha Precious.

Nilizidi kukitumia kidole changu cha kati katika kukisuguasugua kile kiharage kwa muda wa dakika kadhaa bila kukoma huku nikijaribu kumtazama usoni, alionekana kunogewa vilivyo kiasi kwamba akawa hatamani nikitoe kwa wakati ule. Alilegea kila kiungo.

“Oooooooh jamaniiiiiii aaaaaaaaashiiii

iiiii,” alizidi kutoa miguno ambayo ilizidi kunipandisha stimu nikatamani niifungue zipu yangu tayari kwa kuzama golini lakini nilijitahidi kujikaza, sikutaka kuwa mapepe hata kidogo, nilipanga kutumia ufundi na ustadi wa hali ya juu ili hata pale nitakapozama golini kwa yale mabao ambayo ningeweza kumpiga bila shaka asingeweza kunisahau katika maisha yake yote.

“Dick ni nini lakini hivyooooooo,” aliniambia kwa kulalamika, hapa nilihama kutoka mahali kidole changu kilipokuwepo sasa nilikuwa tumboni mwake, nilikuwa nikitumia ulimi wangu katika namna ya kulilamba tumbo lake kwa utulivu wa haliya juu.

Nilianza kuisikia mihemo na miguno ya ajabu ambayo kiukweli ilizidi kuniweka katika wakati mgumu, mtarimbo wangu ulikuwa umesimama dede tayari kwa mashambulizi lakini msela mimi ndiyo kwanza nilikuwa makini kumlamba mtoto Precious ambaye alikuwa hoi taabani kwa wakati huo. Nilishuka taratibu na ulimi mpaka chumvini, nikaanza kuutumia ulimi wangu kukilamba kitumbua chake ambacho kilionekana kuwa safi, ni hapa ambapo uvumilivu ulimshinda kabisa Precious.

“Jamaaniiiiii Dick vua basiiii mwenzio naumiaaaaa,” aliniambia kisha akaamka na kunisukuma upande wa pili, nikaangukia chali kisha akaja juu yangu na kuanza kunifungua kifungo cha suruali yangu ambayoilikuwa imenibana kwa wastani, hakujali ule usumbufu aliyokuwa anaupata wa kuitoa suruali yangu kisha kukutana na bukta pamoja na boksa. Alichokuwa anajali kwa wakati ule ni kukutana na mtarimbo wangu ambao ulikuwa na hasira kwelikweli.

Baada ya kufanikiwa kunivua kila kitu sasa alikutana na mtarimbo ukiwa umesimama dede, aliutazama kisha nikapata kumuona akitabasamu, tabasamu la kuniambia kuwa aliupenda ghafla! Kisha na mimi sikusita nikamjibu kwa kumpa tabasamu la kumwambia upe ukupe.

Ni kama vile matabasamu yetu yalielewana, nilishangaa precious akinivuta kwa kuniamsha pale kitandani kisha akajilaza mwenyewe chali. Hahahaha! Nilifahamu fika alikuwa tayari kwa mechi ile ambayo mpaka kufikia wakati ule mshindi alikuwa bado hajapatikana wala kutabirika.

“Unapenda staili gani?” nilimuuliza kwa sauti ya kumchombeza, hakunijibu lolote alikuwa akinirembulia tu! kisha akanipa ishara ya kumjia juu yake kwa lengo la kumpa mautamu.

Sikutaka kusita bila hiyana Dick mimi nikamaanisha kama vile alivyotaka, nikamjia juu yake na sasa mtarimbo wangu ulikuwa lango kuu la goli lake lililokuwa wazi, bila shaka alikuwa akijaribu kucheka na nyani.

Sikutaka kuzama haraka dimbani, nilichoamua kukifanya ni kuanza kuutumia mtarimbo wangu kuusugua pale kwenye kitumbua chake upande wa juu kushuka chini kisha nikawa kama vile napapigapiga huku nizidi kupasugua.

“Dickkkkk jamaniiiii unani……aaaaaaaa

ah aaaaaaaashhiiiiiiiii aiiiiiiiiiiii oooooooooh aaaaaaaah,” alizidi kutoa miguno huku akijaribu kupambana na mimi kutaka kuuingiza mtarimbo wangu katika lango lake. Nilikataa kufanya hivyo kwa makusudi, niliendelea na kazi yangu ya kupasugua pale nje ya kitumbua chake mpaka pale ambapo alishindwa cha kufanya.

“Jamaniiiiiiiiiiii Dick weweeeee aaaaaaaaaaah,” alisema kisha akanyamaza kwa muda, akawa ananitazama usoni, sikutaka kukwepesha macho yangu, nilimtazama na mimi mpaka pale alipoanza kuona aibu, akawa anajificha macho yake kwa kutumia viganja vyake.

Niliamua kuingia sasa lilipo lango kuu, niliuzamisha mtarimbo wangu bila yeye kutegemea kama ningeweza kufanya vile kwa wakati ule.

“Aaaaaaaassssshhhiiiiiiiiiii aaaaaaaaaaaah,” alilalamika huku akijilambalamba lips zake pana zilizonitamanisha kuzinyonya.

Niliuzamisha mtarimbo wangu kisha nikautoa halafu nikauzamisha kwa mara nyingine, kitendo ambacho kilionekana kumkatisha utamu aliokuwa akiupata kwa ule. Safari hii sikuutoa tena, nilianza kuupamp kutoka nje kwenda ndani taratibu kabisa huku nikihakikisha nagusa kila kona ya lango lake.

“Dick hapo hapo…..hapo hapo Dick usitoeeeeee oooooooohhh Dick jamaniiiiiii kwanini hivyooooooo aaaaaaaaaah,” alizidi kulalamika kwa sauti ya kimahaba.

Nilizidi kuutumia ufundi wangu katika kumkuna vilivyo mrembo huyu ambaye kukutana kwetu ilikuwa ni kama kitendo cha kuokota embe chini ya mnazi.

Utamu niliyokuwa nampa Precious hakika ulikuwa ukimuingia vilivyo kiasi kwamba kuna muda alikuwa akizungumza maneno ya ajabu ajabu ambayo kiukweli kama ningemwambia ayarudie kuyatamka angekesha kwa kuyakumbuka. Utamu ulimlizidi vilivyo.

“Ooooooh Tayariiiiiiiiiiii Dick tayariiiiiii aaaaaah,” aliniambia maneno ambayo hayakuwa na ulazima wa kuuliza tayari nini, bila shaka alikuwa ameshafunga bao huku mzee mzima ndiyo kwanza nilikuwa nikipambana kulishambulia goli.

Haikuchukua dakika kadhaa na mimi nikawa nakaribia kumwaga maji meupe, niliwahi kuutoa mtarimbo wangu kisha nikayamwaga nje. Wakati huo Precious alikuwa amening’ang’ani

.

“Kwanini umemwagia nje sasa?” aliniuliza huku akionekana kuchukizwa na kitendo kile.

“Hapana,” nilimjibu jibu la kizembe kisha kimoyomoyo nikajitukana.

“Mwagia ndani tuuuu,” aliniambia kisha akanitazama katika mtazama wa kimitego, alihisi ule ndiyo ulikuwa mwisho wa safari yangu kumbe mzee mzima ndiyo kwanza nilikuwa najiandaa kuunganisha safari nyingine. Niliingia tena lango kuu na sasa ilikuwa ni bandika bandua iliyosindikizwa na mikao tofautitofauti mpaka pale ambapo aliniambia kuwa amechoka, hapo nilikuwa tayari nimemfunga mabao matano kwa manne.

“Basi Dick aaaaaaah basiii inatoshaaaa nimechokaaa,” aliniambia kwa sauti iliyosindikizwa na miguno ya kimapenzi.

Niliamua kuutoa mtarimbo wangu na sasa tulikuwa tumelala hoi kitandani huku Precious akiwa amekilaza kichwa chake kifuani mwangu.

“Dick,” aliniita.

“Naam!” nilimuitikia huku nikimtazama usoni.

“Umeniridhisha sana,” aliniambia huku akiivuta pumzi ndefu na kuiachia.

“Umeridhika kweli au turudie mchezo.”

“Ndiyo nimeridhika ukweli.”

“Sawa,” nilimjibu kisha nikamuona akiitazama saa kupitia simu yake.

“Mungu wangu.”

“Kuna nini?”

“Saa nne?”

“Kwani nini?”

“Nyumbani kwangu.”

“Kumefanyaje?”

“Natakiwa niwe nyumbani kwangu,” aliniambia huku akikurupuka kisha akaanza kuzichukua nguo zake bila kuoga akazivaa tayari kwa kuondoka eneo lile. Niliichukua bukta yangu pamoja na t-shirt ya ‘V’ nikaivaa kisha nikamsindikiza mpaka lilipokuwa gari lake, akapanda na kutoweka eneo lile huku akiwa ameniachia namba yake ya simu.


Je, nini kitaendelea?

Usikose sehemu ijayo...


*Maoni yako ni muhimu sana.


#Usisahau kushare kwa wingi.

0 comments:

Post a Comment