Hadithi ya Kusisimua #Mimba_ya_Jini-13-
Mtunzi: #Mzizi_Mkavu
SASA SKIA ILI USIPITWE NA MWENDELEZO WA HADITHI HII YA KUSISIMUA #LIKE_PAGE HII UWE KARIBU NAMI KIPANDE KINACHOFUATA KISIKUPITE SHARE NIPOST NYINGINE NASUBIRIA #SHARE 250 NIENDELEEE NA HADITHI
ILIPOISHIA...JANA
"Mke wangu tumehangaika sehemu ngapi tumepewa masharti mangapi tuliyoyatekeleza, yaani hili ndilo umeliona gumu?"
"Mi nimechoka kila siku masharti magumu."
"Ha! Mke wangu umeweza kulala makaburini kutafuta mtoto, umeone kazi kutotumia dawa za kizungu ikiwa hali yako ilikuwa nzuri?"
SASA ENDELEA...
"Mume wangu mimi nina wasiwasi huyu mwanamke si mwanadamu!"
"Mke wangu shida yetu mtoto au kujua Shehna ni mtu au jini?"
"Mi simuelewielewi."
"Mke wangu Shehna si jini ni mwanadamu pia si mganga."
"Ni nani?"
"Nimekuambia mtu."
"Kama si jini wala mganga ni nani mbona unataka kutusaidia?"
"Yule dada alipatwa na tatizo kama letu kuna siku nilimsikia akizungumza na mtu jinsi alivyohangaika kutafuta mtoto na kufanikiwa kupata. Nilivutiwa na habari zake na kumuomba anisaidie. Aliahidi kunisaidia na ndicho alichotusaidia, sasa mke wangu kipi kilichokutuma kuniulia mwanangu?" Mustafa alimuuliza akiwa amemkazia macho mkewe.
"Mume wangu sikujua," Husna alikuwa mpole.
"Sasa tutafanya nini? Lazima Shehna tumemuudhi tutafanyaje, kumbuka mke wangu tumehangaika sehemu ngapi hatukuona dalili za mimba hata siku moja. Lakini dawa ya Shehna siku moja na mimba juu."
"Dah! Sijui itakuwaje ukimuona naomba uniombee msamaha, nipo radhi kufuata masharti yoyote atakayonipa."
"Mmh! Sijui!"
"Mume wangu tusitake kujihukumu, najua lazima atapiga simu, naomba umweleze aje nyumbani ili nimuombe msamaha au nimfuate popote."
"Sawa nikimuona au kunipigia simu nitafanya hivyo."
Mustafa alimuaga Husna na kwenda kazini kwa vile alichelewa kutokana na kumfuata mkewe hospitali.
***
Mustafa baada ya kufika ofisini, alijawa na mawazo kuhusiana na matukio yote yaliyokuwa yakimtokea. Bado alikuwa njia panda kutokana na Shehna mwanamke mrembo aliyeonesha mapenzi mazito kwake. Lakini mambo yake yalionekana kama yana muujiza yaliyokuwa kila siku yanamstaajabisha.
Alijiuliza alimjulia wapi mpaka kumpenda kiasi kile, kutokana na mavazi na vito vyote alivyovaa vilikuwa vya thamani kubwa sana. Ilionesha anatoka katika familia yenye uwezo mkubwa sana. Alipanga akikutana naye amuulize vizuri ajue alimuonea wapi na kipi kilichomfanya ampende na kupelekea kutaka kuzaa naye na si mwanaume mwingine.
Sara akiwa bado yupo katika dimbwi la mawazo, sekretari wake aliingia ofisini na kushangaa kumkuta bosi wake amezama kwenye mawazo. Toka aingie ilikuwa ilimeta saa moja bila kugusa kitu zaidi ya kuzama kwenye mawazo. Alimwita na kumfanya ashtuke.
"Vipi bosi mbona upo mbali kimawazo?"
"Wee acha tu, vipi unasemaje?" alijibu huku akifuta mikono usoni na kujinyoosha kama mtu mwenye usingizi au aliyechoka sana.
"Nimekupigia simu ya mezani nashangaa inaita bila kupokelewa, naingia ndani naona upo kwenye dimbwi la mawazo. Unajua bosi siku hizi sikuelewi kabisa inaonekana hapo sawa."
"Nipo sawa, ulikuwa unasemaje?" Mustafa alijibu huku akijiweka sawa kitini na kuiweka sawa Laptop iliyokuwa juu ya meza.
"Kuna mgeni wako."
"Duh! Akili yangu haijakaa sawa mwambie arudi baadaye," alijibu huku akifungua kazi kwenye desktop.
"Lakini mgeni unamjua?"
"Kwani nani?"
"Yule dada mrembo."
"Ooh! Kumbe Shehna mwambie apite."
"Unaona!" Sara alisema huku akitabasamu na kutoka nje.
Mustafa alishtuka na kushangaa kumfuata ofisini ikiwa walilala pamoja na kuachana muda mfupi. Akiwa ameinama alishtuliwa na harufu ya manukato na sauti tamu ya Shehna.
"Asalamu aleykum Mustafa."
"Waleykum salam Shehna."
Alinyanyua uso na kukutana na Shehna akiwa katika vazi la hijabu iliyomziba mwili mzima. Baada ya kuketi aliiondoa nikabu iliyomziba uso na kufanya aonekane vizuri kisha alitikisa nywele zake nyingi nyeusi na kufanya zichanue kama ua huku tabasamu mwanana akilichanua na kumfanya Mustafa kujiona kama yupo ndotoni.
Alitulia na kumtazama Mustafa aliyekuwa ametulia kama mtu aliyekuwa akitazama picha nzuri na kuitikia kama ameitwa.
"Abee mpenzi," Shehna aliitikia bila kuitwa kitu kilichomshtua Mustafa na kumuuliza:
"Shehna mbona unaitikia? Sijakuita."
"Mustafa uniite mara ngapi?"Shehna alimtazama Mustafa usomi huku macho yake makubwa kidogo ya kusinzia yaliyopakwa wanja na kufanya azidi kupendeza. Hakika Shehna alikuwa mrembo wa warembo.
"Haki ya nani Shehna sijakuita," Mustafa alijitetea kwa kuamini toka aachane naye hajapiga simu wala kuonana naye.
"Huna kitu unachotaka kuniuliza?" Shehna alimuuliza huku amemkazia macho ambayo yalizidisha uzuri wake.
Itaendelea ENDELEA KULIKE PAGE HII KIPANDE KINACHO ENDELEA KISIKUPITE SHARE KWA MARAFIKI NIPOST NYINGINE NASUBIRIA #SHARE 250 NIPOST MWENDELEZO






Uchawi wa mapenzi wa Dkt. Dawn hufanya maajabu kweli.
ReplyDeleteNiliwasiliana na Dkt. Dawn wakati uhusiano wangu ulipovunjika kabisa. Mpenzi wangu wa zamani alikuwa ameniacha na kunizuia kwenye mitandao yote ya kijamii. Nilivunjika moyo na kupoteza tumaini. Baada ya kushauriana na Dkt. Dawn, kila kitu kilibadilika. Mpenzi wangu wa zamani alirudi peke yake, akaomba msamaha kwa dhati, na akaomba msamaha. Leo, tunaishi pamoja kwa furaha, na hata tuna mtoto.
Maneno hayatoshi kuelezea jinsi ninavyoshukuru. Kutokana na uzoefu wangu, naweza kusema kwa ujasiri kwamba Dkt. Dawn ni halisi, anayetegemewa, na mwenye nguvu. Ikiwa unakabiliwa na hali yoyote ngumu maishani mwako hivi sasa, Dkt. Dawn anaweza kukusaidia.
ANAWEZA KUKUSAIDIA KWA MATATIZO YAFUATAYO:
Kurudisha ndoa na mahusiano yaliyovunjika
Kuvutia mafanikio na ukuaji katika biashara
Matatizo ya uanaume, utasa, na ukosefu wa watoto
Kurejesha mali zilizoibiwa au zilizopotea
Kurudisha kazi zilizopotea au fursa za kazi
Kinga dhidi ya uchawi na macho mabaya
Hirizi za mvuto
Kutatua migogoro ya ardhi na mali
Kuwafanya wapenzi kutimiza ahadi zao
Kushinda kesi mahakamani, na mengine mengi
Huu si ulaghai — ni ushuhuda kutoka kwa uzoefu.
Kwa maelezo zaidi, wasiliana naye moja kwa moja kwenye WhatsApp. +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com
🌹 Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu
ReplyDeleteNataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.co
Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
ReplyDeleteMume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com