Yafuatayo ni matokeo rasmi ya kura za maoni kwa upande wa CCM kwenye majimbo
kama yanavyofanyika.Tutaendelea kuwaletea matokeo kila siku kadiri
tutakavyokuwa tunayapataKigamboni Ndugulile kashinda kwa 80%
Nape kashinda kwa kishindo
SEGEREA
Mbunge:BONA KALOA
Diwani: SOUD MOHAMED SOUD
(Mbunge ni mwanamke)
Ulanga Mashariki, Mbunge Celina kombani
Ilala ameshinda Zungu
Ukonga mshindi ni Ramesh Patel
Bumbuli
1.January - 13,366~87%
2. Kaniki - 1,781~12%.
3. Mshihiri - 171~1%
4. Shekwevi - 46~0%
Total results 15,364.
Nzenga Mjini Bashe kashinda kwa asilimia 99%...
Sengerema: William Ngeleja
Nyamagana: Mabula
Butiama: Mkono
Morogoro mjini: Abood






0 comments:
Post a Comment