wasanii wa kike wenye mkwanja mrefu
Jarida la Forbes jana limetoa orodha ya wasanii wa kike waliotengeneza
mkwanja mrefu zaidi ndani ya mwaka 2014. Nafasi ya kwanza amekamata
mwanadada Beyonce ambaye ameingiza kiasi cha $115m, Taylor Swift
ameingiza $64m, Pink ameingiza $54m, Rihanna ($48 million), Katy Perry
($40 million), Jennifer Lopez ($37 million), Miley Cyrus ($36 million,
Celine Dion ($36 million, Lady Gaga ($33 million), na anayeifunga Top 10
ni Britney Spears ($20 million)......"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment