
Beyonce na Rihana ndani ya ujio mpya
Collabo la Beyonce na Rihanna inakuja na ngoma
inaenda kwa jina la Cherry.... Beyonce ambae anatarajia kurelease album
yake mpya novemba 14 kwenye itunes na novemba 25 cd zitakuwa mitaani
tayari itakuwa na ngoma hio akiwa amemshirikisha mwanadada Rihanna...
Hivi apo nani atamfunika mwenzie labda?? 

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment