Kuna
fununu kuwa Cristiano Ronaldo ametengana rasmi na mlimbwende muonesha
vivazi Irina Shayk aliyekuwa mpenzi wake, hili lina pata ithibati baada
ya kuonekana Irina ameacha kumfuata Ronaldo katika ukurasa wa Twitter.
Fununu
za kuachana kwao zilianza kuzagaa mapema wiki hii kwamba wawili hao
wametengana kwa kisa cha Irina kushindwakuonekana kwenye tukio la
kupokea tuzo za Ballon d'Or usiku wa jumatatu ambapo Ronaldo alikuwa
mshindi wa jumla.
0 comments:
Post a Comment