Mbunge
wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amenusu kifo baada ya gari
aliyokuwa akisafiria kupata ajali katika eneo la mlima Kitonga mkoani
Iringa. Taarifa
za awali kutoka kwa katibu wake Kwame Anangisye zimeeleza kuwa Mbunge
huyo akiwa na watu wanne kwenye gari yake alipata ajali hiyo mwanzoni
mwa mlima Kitonga akitokea Mbeya kuelekea jijini Dar es Salaam.


0 comments:
Post a Comment