Marafiki Club-O4
By Sparner Boy 0765148781
Ilipoishia..
alishangaa kwa nini wazo lile lilimjia haraka
kiasi kile na moyoni akawa anaomba gari
lisitokee,,,
endelea..
Roy aliendelea kumwangalia kiwizi wizi na
kuzidi kubaini uzuri wa binti yule aliyekuwa na
waswasi wa kutokupata usafiri.Baada ya ukimya
wa muda mfupi Roy akamuuliza
"dada unafika mpaka wapi,Pia naweza kujua
jina lako?"
"naitwa Husna nafika moshi ila nikifanikiwa
kufika boma ya ng'ombe nitakuwa nimesalimika
kwani nitalala kwa anti yangu"
"mimi naitwa Roy kwetu Usariver"
"afadhali wewe kaka kwenu karibu"
wakiwa wanaendelea na maongezi likapita fuso
moja kwa mwendo wa kasi ila lilipowapita
lilianza kupunguza mwendo na kusimama,kisha
likaanza kurudi nyuma kuwarudia.Roy
alipoliangalia alilijua kuwa ndio linalomleteaga
viazi na dereva ni rafiki yake mkubwa
"Husna lift hiyoo,."
"unawafahamu?"
kabla Roy hajajibu swali lile fuso
lilishawakaribia na walisikia sauti dereva
akisema
"Oya Roy saa hizi wapi na shemeji?"
"tumekosa gari nyie mnaishia wapi"
"mbele kidogo ya Usa kama vipi twende
tuwasogeze saa hizi nyie kupata gari ni ngumu"
Roy alimwangalia Husna akamshika mkono
wakasogelea fuso lile.Upande wa mbele
palikuwa pamejaa konda na utingo walikuwa
wamekaa mbele na walikuwa wamelewa hivyo
kuwatoa na kuwaamishia nyuma ni ugomvi
mwingine hivyo Husna na Roy wakapanda
nyuma na kukaa kwenye magunia ya mchele
yaliyokuwa kwenye fuso lile na safari ikaanza.
"afadhali watusogeze"
"yeah,ila nikishuka usa sijui nitaelekea wapi?
"tukishuka tutajua nitakusaidia pale usa mimi
ni mwenyeji"
"ooh asante sana kaka angu kwa ukarimu
wako"
Walipofika Usa walishuka,Dereva kabla
hajaondoa gari alimwita Roy pembeni
akamwambia
"wewe boya umemtoa wapi mtoto kiwango
namna hii?"
"kawaida tu siunajua tena"
"aah wapi wewe,.ila mtoto mzuri sana aise leo
kauwe uwe"
aliongea dereva yule uku anampiga piga Roy
mgongoni wote wakacheka.Dereva
alipoondoka,Roy alisimama pale akawaza
akienda nyumbani amuache Husna haitakuwa
vizuri na nyumbani hawezi kumpeleka kwani
alimjua shangazi yake alivyo,pale pale kuna
wazo lilimjia,wakati yupo kwenye dimbwi la
mawazo alisikia sauti tamu ya Husna ikimuita
"Roy unawaza nini au mimi ndio nakupa
mawazo"
"hapana.nimeongea na rafiki yangu ninaekaa
nae ameniambia yupo disko na funguo anazo
sasa nawaza sijui nikalale wapi"
Husna alimsikiliza Roy na kutikisa kichwa ata
yeye alionekana kusikitika kwa kiasi fulani.
"sasa tufanyaje huna ndugu yoyote apa usa?"
"hapana,ila kwa kuwa nina pesa kidogo
tuchukue vyumba viwili,uku chumba mpaka
asubuh ni elfu nane tu,kwa viwili ata ishirini
haiishi"
Walianza kuzunguka kwenye bar mbalimbali
zenye gest bila mafanikio vyumba vilikuwa
vimejaa kila walipokwenda.
"sasa tunafanyaje Husna mimi ujanja wangu
umeishia apa"
"kwani Roy hakuna hotel apa karibu"
"ipo ila bei zao ni ghal.."
"usihofu kuhusu bei zao wewe twende"
Roy alishangaa Husna alipomwambia maneno
hayo,hakutarajia kuwa dada yule anaweza kuwa
na pesa za kulipia hotel.
Walipofika hotel Roy alimuacha Husna nje
akaingia mapokezi na kumkuta dada wa
mapokea akiwa anasinzia
"hi dada mambo,vyumba vipo?"
"vipo unataka vingapi"
"sasa sikia nisaidie,nikiingia na mpenzi wangu
sema chumba kimebaki kimoja tu"
"hamna shida nimekuelewa"
alijibu dada yule na kupiga miayo kwa uchovu
na usingizi.
Husna alipoambiwa kimebaki chumba
kimoja,alisita kidogo ila hakuwa na namna
alilipa wakasaini na kuelekea chumbani.
Roy alielekea bafuni akajimwagia maji,alipotoka
akamkuta Husna ameshavua nguo zote
amefunga taulo
"mmh,mara hii umemaliza Roy hujatakata
wewe"
"mwanaume anaoga fasta bana"
wote walicheka Husna akainuka na kuelekea
bafuni,uku nyuma Roy alipagawa alipoangalia
wezere la binti yule linavyorusha mawe.Husna
alikuwa mzuri aliekamilika kila idara.Hakuwa
mnene sana ila alikuwa na 'wowowo' la
kumpagawisha mwanaume yoyote Rijali.
Baada ya muda Husna alitoka na kukaa
kitandani,akafungua pochi aliyokuwa amebeba
akatoa chupi nyingine pamoja na gauni la
kulalia akamwangalia Roy na kumwambia
"fumba macho nivae nguo"
Roy alielekea bafuni kumpa nafasi binti yule na
alipotoka alimkuta Husna amevaa gauni fupi na
nyepesi sana akiwa amekaa kitandani anachezea
sim yake uku mapaja yake meupe yapo
wazi.Roy alipanda kitandani akavuta shuka uku
anawaza namna ya kumuanza binti yule
mwenye asili ya kisomali.
Husna pia alilala kwa kumpa Roy mgongo,kwa
kuwa walikuwa wamejifunika shuka moja
lolipop ya Roy ilianza kusumbua ikawa
inamgusa Husna..
"mmh,Roy bana usiniguse nayo mi kuna kitu
nahisi"
"unahisi nini?"
"kitu tu"
"kitu gani niambie"
aliongea Roy kwa sauti ya kukwaruza uku
anampapsa husna sehemu za tumboni,alipanda
kwenye chuchu zake akawa anazibinya binya
uku anabusu shingo ya binti yule kwa
nyuma.Alimgeuza wakawa wanatazamana Roy
akainuka na kuanza kuvua chupi ya Husna
taratibu uku anam'busu mapajani.Alipomaliza
aliamia kwenye kitumbua kilaini cha
Husna,alianza kwa kuilamba sehemu za
juu,kisha akaamia pembezoni,akazama kwenye
kitumbumbua chenyewe,akawa anailamba
ustadi wa hali ya
Juu husna akawa anagala gala pale kitandani
uku analalamika
"asante..asante.ila taratibu mi sijawahi
mwenzako,,ssss...jawah..aah..oooh"
Roy alipohakisha Dada yule emelainika
alimuweka sawa akai'seti' lolipop yake kwenye
utamu wa Husna na kuanza kuingiza taratibu
ila kila akiingiza husna alikuwa anashtuka uku
anamsisitiza Roy kuwa aingize taratibu.kwa
usumbufu ule Roy kwa mbali alisikia wazungu
wake wanakuja apo uzalendo ukamshinda na
kutokana na raha alizokuwa anahisi,akaingiza
lolipop yote kwa kasi ya ajabu ambapo Husna
alishtuka na kupiga kelele za ajabu.Roy akiwa
ametulia kwenye kifua cha Husna akihisi
majimaji kwenye mashuka na alipoangalia
alishtuka mashuka yote yalikuwa yamelowa
damu.Alimpa huduma ya kwanza moyoni Roy
akawa anajipongeza kwani tokea azaliwe
hakuwa amewahi kumtoa binti usichana
wake.Damu zilipoacha kutoka walikumbatiana
na taratibu usingizi ukawapitia.
Roy alishtuka saa mbili asubuhi na alipoangalia
kitandani Husna hakuwepo,alimtafuta kila
mahali mle ndani bila mafanikio na kilichokuwa
kinamshangaza ni kwamba mlango ulikuwa
umefungwa sasa kama ameondoka amepita
wapi? Alijiuliza.
Itaendelea
By Sparner Boy 0765148781
Ilipoishia..
alishangaa kwa nini wazo lile lilimjia haraka
kiasi kile na moyoni akawa anaomba gari
lisitokee,,,
endelea..
Roy aliendelea kumwangalia kiwizi wizi na
kuzidi kubaini uzuri wa binti yule aliyekuwa na
waswasi wa kutokupata usafiri.Baada ya ukimya
wa muda mfupi Roy akamuuliza
"dada unafika mpaka wapi,Pia naweza kujua
jina lako?"
"naitwa Husna nafika moshi ila nikifanikiwa
kufika boma ya ng'ombe nitakuwa nimesalimika
kwani nitalala kwa anti yangu"
"mimi naitwa Roy kwetu Usariver"
"afadhali wewe kaka kwenu karibu"
wakiwa wanaendelea na maongezi likapita fuso
moja kwa mwendo wa kasi ila lilipowapita
lilianza kupunguza mwendo na kusimama,kisha
likaanza kurudi nyuma kuwarudia.Roy
alipoliangalia alilijua kuwa ndio linalomleteaga
viazi na dereva ni rafiki yake mkubwa
"Husna lift hiyoo,."
"unawafahamu?"
kabla Roy hajajibu swali lile fuso
lilishawakaribia na walisikia sauti dereva
akisema
"Oya Roy saa hizi wapi na shemeji?"
"tumekosa gari nyie mnaishia wapi"
"mbele kidogo ya Usa kama vipi twende
tuwasogeze saa hizi nyie kupata gari ni ngumu"
Roy alimwangalia Husna akamshika mkono
wakasogelea fuso lile.Upande wa mbele
palikuwa pamejaa konda na utingo walikuwa
wamekaa mbele na walikuwa wamelewa hivyo
kuwatoa na kuwaamishia nyuma ni ugomvi
mwingine hivyo Husna na Roy wakapanda
nyuma na kukaa kwenye magunia ya mchele
yaliyokuwa kwenye fuso lile na safari ikaanza.
"afadhali watusogeze"
"yeah,ila nikishuka usa sijui nitaelekea wapi?
"tukishuka tutajua nitakusaidia pale usa mimi
ni mwenyeji"
"ooh asante sana kaka angu kwa ukarimu
wako"
Walipofika Usa walishuka,Dereva kabla
hajaondoa gari alimwita Roy pembeni
akamwambia
"wewe boya umemtoa wapi mtoto kiwango
namna hii?"
"kawaida tu siunajua tena"
"aah wapi wewe,.ila mtoto mzuri sana aise leo
kauwe uwe"
aliongea dereva yule uku anampiga piga Roy
mgongoni wote wakacheka.Dereva
alipoondoka,Roy alisimama pale akawaza
akienda nyumbani amuache Husna haitakuwa
vizuri na nyumbani hawezi kumpeleka kwani
alimjua shangazi yake alivyo,pale pale kuna
wazo lilimjia,wakati yupo kwenye dimbwi la
mawazo alisikia sauti tamu ya Husna ikimuita
"Roy unawaza nini au mimi ndio nakupa
mawazo"
"hapana.nimeongea na rafiki yangu ninaekaa
nae ameniambia yupo disko na funguo anazo
sasa nawaza sijui nikalale wapi"
Husna alimsikiliza Roy na kutikisa kichwa ata
yeye alionekana kusikitika kwa kiasi fulani.
"sasa tufanyaje huna ndugu yoyote apa usa?"
"hapana,ila kwa kuwa nina pesa kidogo
tuchukue vyumba viwili,uku chumba mpaka
asubuh ni elfu nane tu,kwa viwili ata ishirini
haiishi"
Walianza kuzunguka kwenye bar mbalimbali
zenye gest bila mafanikio vyumba vilikuwa
vimejaa kila walipokwenda.
"sasa tunafanyaje Husna mimi ujanja wangu
umeishia apa"
"kwani Roy hakuna hotel apa karibu"
"ipo ila bei zao ni ghal.."
"usihofu kuhusu bei zao wewe twende"
Roy alishangaa Husna alipomwambia maneno
hayo,hakutarajia kuwa dada yule anaweza kuwa
na pesa za kulipia hotel.
Walipofika hotel Roy alimuacha Husna nje
akaingia mapokezi na kumkuta dada wa
mapokea akiwa anasinzia
"hi dada mambo,vyumba vipo?"
"vipo unataka vingapi"
"sasa sikia nisaidie,nikiingia na mpenzi wangu
sema chumba kimebaki kimoja tu"
"hamna shida nimekuelewa"
alijibu dada yule na kupiga miayo kwa uchovu
na usingizi.
Husna alipoambiwa kimebaki chumba
kimoja,alisita kidogo ila hakuwa na namna
alilipa wakasaini na kuelekea chumbani.
Roy alielekea bafuni akajimwagia maji,alipotoka
akamkuta Husna ameshavua nguo zote
amefunga taulo
"mmh,mara hii umemaliza Roy hujatakata
wewe"
"mwanaume anaoga fasta bana"
wote walicheka Husna akainuka na kuelekea
bafuni,uku nyuma Roy alipagawa alipoangalia
wezere la binti yule linavyorusha mawe.Husna
alikuwa mzuri aliekamilika kila idara.Hakuwa
mnene sana ila alikuwa na 'wowowo' la
kumpagawisha mwanaume yoyote Rijali.
Baada ya muda Husna alitoka na kukaa
kitandani,akafungua pochi aliyokuwa amebeba
akatoa chupi nyingine pamoja na gauni la
kulalia akamwangalia Roy na kumwambia
"fumba macho nivae nguo"
Roy alielekea bafuni kumpa nafasi binti yule na
alipotoka alimkuta Husna amevaa gauni fupi na
nyepesi sana akiwa amekaa kitandani anachezea
sim yake uku mapaja yake meupe yapo
wazi.Roy alipanda kitandani akavuta shuka uku
anawaza namna ya kumuanza binti yule
mwenye asili ya kisomali.
Husna pia alilala kwa kumpa Roy mgongo,kwa
kuwa walikuwa wamejifunika shuka moja
lolipop ya Roy ilianza kusumbua ikawa
inamgusa Husna..
"mmh,Roy bana usiniguse nayo mi kuna kitu
nahisi"
"unahisi nini?"
"kitu tu"
"kitu gani niambie"
aliongea Roy kwa sauti ya kukwaruza uku
anampapsa husna sehemu za tumboni,alipanda
kwenye chuchu zake akawa anazibinya binya
uku anabusu shingo ya binti yule kwa
nyuma.Alimgeuza wakawa wanatazamana Roy
akainuka na kuanza kuvua chupi ya Husna
taratibu uku anam'busu mapajani.Alipomaliza
aliamia kwenye kitumbua kilaini cha
Husna,alianza kwa kuilamba sehemu za
juu,kisha akaamia pembezoni,akazama kwenye
kitumbumbua chenyewe,akawa anailamba
ustadi wa hali ya
Juu husna akawa anagala gala pale kitandani
uku analalamika
"asante..asante.ila taratibu mi sijawahi
mwenzako,,ssss...jawah..aah..oooh"
Roy alipohakisha Dada yule emelainika
alimuweka sawa akai'seti' lolipop yake kwenye
utamu wa Husna na kuanza kuingiza taratibu
ila kila akiingiza husna alikuwa anashtuka uku
anamsisitiza Roy kuwa aingize taratibu.kwa
usumbufu ule Roy kwa mbali alisikia wazungu
wake wanakuja apo uzalendo ukamshinda na
kutokana na raha alizokuwa anahisi,akaingiza
lolipop yote kwa kasi ya ajabu ambapo Husna
alishtuka na kupiga kelele za ajabu.Roy akiwa
ametulia kwenye kifua cha Husna akihisi
majimaji kwenye mashuka na alipoangalia
alishtuka mashuka yote yalikuwa yamelowa
damu.Alimpa huduma ya kwanza moyoni Roy
akawa anajipongeza kwani tokea azaliwe
hakuwa amewahi kumtoa binti usichana
wake.Damu zilipoacha kutoka walikumbatiana
na taratibu usingizi ukawapitia.
Roy alishtuka saa mbili asubuhi na alipoangalia
kitandani Husna hakuwepo,alimtafuta kila
mahali mle ndani bila mafanikio na kilichokuwa
kinamshangaza ni kwamba mlango ulikuwa
umefungwa sasa kama ameondoka amepita
wapi? Alijiuliza.
Itaendelea
posted from Bloggeroid
No comments:
Post a Comment