CHOMBEZO:NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-09
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278
Niliamua kumchojoa nguo zake zote kisha mchezo wangu haukukoma, niliendelea kuvitumia viganja vyangu ipasavyo katika kuupapasa mwili wake laini katika utulivu wa hali ya juu.
Nilipofika upande wa kifua chake, nilianza kuzitomasa chuchu zake huku nikiwa kama naziminyaminya taratibu.
“Ooooh Dickkkk aaassssh Dick jamaniiiiiiiii wewe oooopsssss,” alizidi kutoa miguno ya kimahaba , nilipomuangalia alikuwa akijilambalamba kudhihirisha kuwa utamum ulikuwa umemkolea. Niliacha kuziminya chuchu zake na sasa niliamua kuzinyonya kwa ulimi huku nikiendelea kumpapasa sehemu nyingine za mwili wake.
Wakati huo askari kichwa rungu alikuwa tayari ameshasimama, alihisi wenda kulikuwa na muhalifu ambaye alikuwa anasumbua, kusimama kwake dede kulizidi kuniumiza, nilichoamua kukifanya ni kuitoa suruali yangu na kubaki na t-shirt. Sikuacha niliendelea kuzitomasa sehemu mbalimbali za mwili wake.
Nilipofika maeneo ya chumvuni, sikutaka kuwa mzembe hata kidogo niliamua kuzama kwa kuutumia ulimi wangu kisha nikawa nalamba kwa taratibu sana huku nikimpa nafasi ya kuufaidi utamu ambao alikuwa akiupata kwa wakati ule. Nilikuwa nikijaribu kukisafisha kisima chake cha chumvi.
“Dickkkkkk jamaniiii nakupenda naku…pendaaa Dickkkkk ooooohhhhh aaaiiiiiiiyyy aaaaiiisshhh,” alizidi kutokwa na miguno ya kimahaba kudhihirisha kuwa alikuwa katika sayari ya mautamu. Niliendelea kujifaidia utamu wa chumvuni, wakati huo Precious alikuwa akiweweseka kwa raha alizokuwa akizipata.
“Hapahapo….hapohapo tamuuuuuuuuu,” aliniambia huku akiwa amekishika kichwa changu kumaanisha kuwa nisiondoke mahali pale, niliendelea kupasugua kwa kutumia ulimi wangu, niliamini fika alikuwa katika ulimwengu mwingine.
Kabla sijamaliza kazi yangu ya kusafisha kisima cha chumvi mara nilishangaa Precious akiinuka na kunitupa upande wa kitandani, nilianguka kwa kulala chali huku askari kichwa rungu akiwa kasimama dede kuhofia usalama wake, alikuwa makini kwelikweli.
Wakati nikiendelea kulala pale kitandani nilimuona Precious akija na kunilalia kwa juu. Nilichokuwa nakishuhudia kwa wakati huo ni yale matukio ambayo mara kadhaa nimekuwa nikiyashuhudia yakitokea kwenye video za ngono.
Precious alianza kunionyesha ufundi wake katika kucheza na mwili wangu, mwili ambao ulikuwa umejengeka kimazoezi. Alikuwa akiutumia ulimi wake katika kucheza na mwili wangu ambapo kwa wakati huo nilikuwa nikiupata msisimko usiyokuwa na kifani. Alianzia upande wa shingoni kushuka mpaka tumboni, alikuwa akicheza na ulimi wake ambao ulikuwa ukiteleza bila kuhofia lolote.
Alipofika kwa askari kichwa rungu hakutaka kupita bila kumsalimia, alichokifanya alianza kumnyonya huku akizidi kuutumia ulimi wake katika kumtuliza hasira alizokuwa nazo. Nilishindwa kuvumilia, nikajikuta naanza kutokwa na miguno ya raha alizokuwa akinipa kwa wakati ule, hakutaka kuondoka mapema eneo lile alizidi kupachezea huku akitumia mikono yake kunipapasa maeneo mengine ambayo yalizidi kuniweka katika wakati wa raha tu!
Asikwambie mtu mapenzi ni matamu sana hasa mkikutana mafundi kisha mkawa mnaonyesheana ufundi wenu katika kulisakata rumba.
Kadri alivyozidi kucheza na askari wangu ndivyo ambavyo nilizidi kushindwa kuvumilia, nilianza kuhisi kitu cha tofauti kikinipanda kwa kasi ya ajabu, mwanzo kilianza kuja kwa kunipa taarifa lakini baadae uvumilivu uliponishinda kiliamua kutoka kwa pupa. Wakati huo Precious alikuwa makini kucheza na askari wanguambaye mpaka kufikia wakati huo alikuwa bado hajazipunguza hasira zake. Ghafla! Nilitokwa na maji mazito meupe ambayo yalimuingia mdomoni Precious kiasi kwamba akapaliwa kwani hakutegemea kama yale maji yangeweza kutoka kwa wakati ule.
Sijui ni nini kilitokea ila nilishangaa tu Precious akiwa amemuacha askari wangu akiwa bado kasimama dede kisha akawa kwa juu akijaribu kumzamisha katika kisima chake. Alianza kutokwa na miguno ya raha alizokuwa akizipata kwa wakati ule, Niliamua kumsaidia kumuingiza askari kichwa rungu katika kisima chake ambacho kilikuwa tayari kimeanza kutapakaa majimaji yakiyoleta unyevu uliyosababisha askari kingia kwa kuteleza bila ubishi.
“Oooooh nooooo aiiissssssshhhhhh,” alitokwa na miguno hapa tayari askari alikuwa ameshaingia ndani.
Alianza kwa kucheza na askari wangu, alikuwa akikitumia kiuno chake katika kucheza naye nyimbo ambayo ilikuwa haisikiki kwa wakati ule. Kila alivyokuwa akijaribu kucheza na askari wangu ndivyo ambavyo utamu ulikuwa ukizidi kumkolea.
“Oooooopssss,” alitokwa na pumzi nzito.
“Nini?”nilimuuliza huku nikimtazama, macho yake alikuwa ameyafumba huku akionekana kuufurahia ule mchezo.
Niliamua kukishikilia kiuno chake kisha nikaanza kumzamiza na kumuibua askari wangu kwa taratibu.
“Aaaaaah jamaniiii Dickkkk mbona tamuuuuu hivyoooo,” aliniambia katika hali ya kuniuliza huku sauti yake ikisindikizwa na miguno mbalimbali.
Niliacha kumuingiza taratibu askari wangu, niliamua kumuingiza kwa kasi ya ajabu, nilihakikisha nagusa kote kulipokuwa kunastahili kuguswa, nilihakikisha namkuna mikuno yote ambayo mengine hakuwahi kukunwa.
“Aaaaiiiisshhhh jamaniiiii Dick hapohapo…..hapohapo Dick usitoe jamaniiiii tamuuuuuuu aaaaaaiiiiiiii ooooooh hapohapo…….hapohapo uwiiiiiiii.”
Baada ya dakika kadhaa kuzitumia katika wakati ule alipokuwa juu yangu na kuhakikisha kuwa tayari alikuwa amemwaga maji meupe, niliamua kubadilisha mkao, niliamgeuza na kumlaza chali kisha nikaunyanyua mguu wake mmoja juu kwa kuukunja halafu nikaanza kuuzamisha mtarimbo wangu. Ulipozama kazi yangu kubwa ilikuwa ni kuuzamisha na kuutoa. Alizidi kutoa miguno ya utamu aliyokuwa akiipata, sikutaka kuacha nilizidi kumkuna ipasavyo.
“Dick Dickkkk nifanye jamaniiii usitoeeeee …..nifanye Dick mwili nishakukabidhi,” aliniambia huku akijaribu kuzungumza maneno mengine ambayo kwakweli sikujua yalikuwa ni maneno ya kilugha gani.
Kilichokuwa kikiendelea kwa wakati ule ni kushindana katika kumwaga maji meupe, mahali ambapo ilifika tukachoka tuliamua kupumzika na baada ya kumpuzika tuliendelea na mchezo wetu mpaka pale alipoamua kukubali kushindwa.
“Nimechoka Dickkkkkk nimechokaaaaa,’ aliniambia kisha huo ndiyo ulikuwa mwisho wa mechi yetu ambayo nilihakikisha namfunga mabao matano kwa sita. Wote tulikuwa hoi tumejilaza kitandani.
“Dick,” aliniita Precious wakati huo kichwa chake alikuwa amekilaza kifuani mwangu.
“Naam,” nilimuitikia.
“Asante.”
“Asante ya nini?”
“Umenipa mapenzi ambayo sijawahi kuyapata popote pale.”
“Unamaanisha nini?”
“Namaanisha umeniridhisha sana.”
“Kwani hurudhikagi?”
“Sijui nisemeje hata.”
“Wewe niambie tu nitakuelewa.”
“Naweza kusema ndiyo.”
“Kivipi?”
“Wewe elewa tu hivyo.”
“Kwani si umeolewa?”
“Ndiyo.”
“kwahiyo mumeo jogoo hapandi mtungi au?”
“Hapana.”
“Hapana nini?”
“Haniridhishagi yaani umenipa mapenzi ambayo sikuwahi kuyapata kabisa, umenikuna sehemu nyingine ambazo sijawahi kukunwa,” aliniambia kisha nikacheka.
“Mbona unacheka sasa?”
“Hapana nimefurahi.”
“Nakupenda Dick.”
“Nakupenda Pia.”
“Niahidi.”
“Nikuahidi nini?”
“Hutoniacha.”
“Sintokuacha.”
“Nitafurahi Dick yaani kukupata naona kama bahati.”
“Hahahaha usijali,” nilicheka kisha sijui ni nini kilichoendelea tena kwa wakati ule ila katika hali ya kushangaza usingizi uliweza kutupitia wote kwa pamoja tukalala.
Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo....
#Share kwa wingi.
No comments:
Post a Comment